Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mboga 7Nitaendelea kuwaambia singeli sio mziki ni makelele nashaa sijui mnawapaje airtime waimba singeli!!..
Nawaacha na bonus track hii musheherekee muziki mzuri wa kizazi hiki Cha akina bandari...
View attachment 2658107 Watakuja wenye masikio ya ngamia waseme hawajasikia..😅
Mboga 7Nitaendelea kuwaambia singeli sio mziki ni makelele nashaa sijui mnawapaje airtime waimba singeli!!..
Nawaacha na bonus track hii musheherekee muziki mzuri wa kizazi hiki Cha akina bandari...
View attachment 2658107 Watakuja wenye masikio ya ngamia waseme hawajasikia..😅
Makini sana.Imefanyaje mkuu
Kuna wimbo unaitwa MPENZI uliopigwa na CAZ T,huu wimbo nina usaka sana,km unao nisogezee mkuu.Hii ndo list Kali inayotamba kwasasa kwenye playlist yangu ya bongo flavor(kizazi cha Sasa tu), list ipo ndani ya hiyo miaka haitatoka nje!.
tulieni tuwafundishe mziki kwa wale msiojua mziki mzuri ni upi!..😅
View attachment 2658073
View attachment 2658075
View attachment 2658078
View attachment 2658080
View attachment 2658083
View attachment 2658084
View attachment 2658086
View attachment 2658089
View attachment 2658090
View attachment 2658091
Duh!Siujui hata!
Mkuu,nimesha ishusha hapa Vidmate.Leta hela dk mbili unaipata..😂
😅 Sidhani kama unajua nyimbo zenye vibe kama hiyo wasema ina vibe..😎Mi napenda ngoma zenye vibezzzzz na nikisikia lazma zinipe hamu ya kupata kaglass....
Oyaaaaa mwenzenu mimi sijui kutongoza wakijipitisha namwaga helaaa (ahsante)🎼🎵