Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
- Thread starter
- #261
TATHMINI YA DURU KUHUSU KINACHOENDELEA
TUME YA UCHAGUZI NA UKIMYA WA MATUKIO
MATOKEO YA REJA REJA NA HOFU INAYOTANDA
Ndugu wana duru
Kama mtambuka, lipo bandiko tuilosema uchaguzi katika nchi masikiniau zinazoendelea kama yetu ni Zaidi ya sanduku la kura.
Kwamba, kuna mengi nyuma ya pazia. Tumewahi kuhoji kuhusu tume huru y uchaguzi
Matokeo yachaguzi bado anakusanywa, hatuwezi kuzungumzia lolote kwa sasa kwani ni mapema mno kufanya hivyo
Yapo tunayoweza kuyazungumzia kulingana na wakati. Kabla ya hayo,tuseme kuwa uchaguzi umefanyika kwa mujibu wa sheria zilizotokana nakatiba ya 1977 .
Katiba hii imepigiwa kelele sana kuhusu muundo wake uliojengwa kwa mfumo wachama kimoja.
Hivyo, sheria nyingi nazotumika zimeegemea upande wa chama chenye serikali, tume ya uchaguzi, kutangaza na kupinga matokeon.k
Kwa matiki hiyo , wanaofaidika na 1977 ikiwemo watendaji wa taasisi zenye masilahi wamekataa kubadili sheria ziendane na matakwa ya wakati
itihada zote za kubadili mfumo kama wa uchaguzi kupingwa kwa sheria zile zile za katiba ya 1977
Katiba ya 1977 ina matatizo ambayo watawala ima kwa ulevi wamadaraka au kiburi cha kutumia katiba ya 1977 waligoma kusuhghulikia
Hali imebadilika kiasi cha kuwashtukiza watawala.
Mfano, katiba ya 1977 haiongelei nini kitatokea iwapo mihimili miwili itamilikiwa na vyama tofauti, serikali na bunge
Katiba ya 1977 haifafanui nini kitatokea iwapo upande mmoja wa muungano utaongozwa na chama tofauti
Haielezi Rais anaundaje serikali ya mseto hilo likitokea
Ni lazima ziwepo 'busara' zitakazomwezesha Rais ajaye kupata nafasi ya kufanya kazi na majukumu yake kulingana na katiba ya 1977
Kazi ya kutafuta 'BUSARA' inahitaji umakini , ufundi na Muda wa kutosha
Inaendelea.....
TUME YA UCHAGUZI NA UKIMYA WA MATUKIO
MATOKEO YA REJA REJA NA HOFU INAYOTANDA
Ndugu wana duru
Kama mtambuka, lipo bandiko tuilosema uchaguzi katika nchi masikiniau zinazoendelea kama yetu ni Zaidi ya sanduku la kura.
Kwamba, kuna mengi nyuma ya pazia. Tumewahi kuhoji kuhusu tume huru y uchaguzi
Matokeo yachaguzi bado anakusanywa, hatuwezi kuzungumzia lolote kwa sasa kwani ni mapema mno kufanya hivyo
Yapo tunayoweza kuyazungumzia kulingana na wakati. Kabla ya hayo,tuseme kuwa uchaguzi umefanyika kwa mujibu wa sheria zilizotokana nakatiba ya 1977 .
Katiba hii imepigiwa kelele sana kuhusu muundo wake uliojengwa kwa mfumo wachama kimoja.
Hivyo, sheria nyingi nazotumika zimeegemea upande wa chama chenye serikali, tume ya uchaguzi, kutangaza na kupinga matokeon.k
Kwa matiki hiyo , wanaofaidika na 1977 ikiwemo watendaji wa taasisi zenye masilahi wamekataa kubadili sheria ziendane na matakwa ya wakati
itihada zote za kubadili mfumo kama wa uchaguzi kupingwa kwa sheria zile zile za katiba ya 1977
Katiba ya 1977 ina matatizo ambayo watawala ima kwa ulevi wamadaraka au kiburi cha kutumia katiba ya 1977 waligoma kusuhghulikia
Hali imebadilika kiasi cha kuwashtukiza watawala.
Mfano, katiba ya 1977 haiongelei nini kitatokea iwapo mihimili miwili itamilikiwa na vyama tofauti, serikali na bunge
Katiba ya 1977 haifafanui nini kitatokea iwapo upande mmoja wa muungano utaongozwa na chama tofauti
Haielezi Rais anaundaje serikali ya mseto hilo likitokea
Ni lazima ziwepo 'busara' zitakazomwezesha Rais ajaye kupata nafasi ya kufanya kazi na majukumu yake kulingana na katiba ya 1977
Kazi ya kutafuta 'BUSARA' inahitaji umakini , ufundi na Muda wa kutosha
Inaendelea.....