2016 Ballon d"or..

2016 Ballon d"or..

Kuna game ya kimataifa alipiga goli nne peke yake..!
Wala haijapita siku 30..!
Huikumbuki ni sawa na kwamba haipo kafualia hujui labda
1477383281737.jpg
 
Pole ulikuwa hujaelewa nimanisha kwenye clab ndg simchukii ila pia simpendi
Acha UONGO...
Mechi ya mwisho kufunga katika club ilikua ni tarehe 15 mwezi huu...
Real Madrid alicheza na Real Betis,Madrid alishinda goli 6 kwa 1,Goli la mwisho lilifungwa na Cristiano Ronaldo...

Screenshot_20161025-114416.png
Screenshot_20161025-114353.png
Hizo siku 38 unazosema Ronaldo amekaa bila kufunga goli umezitoa wapi..!?
 
Pogba awepo kwenye shortlist halafu ozil asiwepo kupatwa kwa tuzo
Pogibwa sio huyu wa Man4ngo....shortlisted Paul Pogba was then Juventus mido kisheti not the current midoshati wa Manure
 
Back
Top Bottom