Aiylan wasalan
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 730
- 1,478
Kama Heading inavyojieleza,ni kweli toka 2016 to 2020 maono yalikua ni meng sana kua Jpm atakufa au ataongoza kwa muhula mmoja.
Je, ni kipi kinachopelekea hayo maono hayapo ndani ya utawala huu wa Samia, je yeye hana mabaya au yeye hakosei chochote kwenye uongozi wake?!
Samia ni bora kwenye uongozi hadi watu hawaji na maono kua atakufa?
Je, ni kipi kinachopelekea hayo maono hayapo ndani ya utawala huu wa Samia, je yeye hana mabaya au yeye hakosei chochote kwenye uongozi wake?!
Samia ni bora kwenye uongozi hadi watu hawaji na maono kua atakufa?