Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha[emoji134] [emoji134] [emoji134]
Me mpaka nmeekia kuchanganyikiwa
DhuuuuHahaha
Mkuu mimi sikupenda 1-0
Ila 1-1 naona poa tu
HahahaDhuuuu
Kweli kila shetan na mbuyu wake
Analikamia lango la Cameroon naona katumwa magoli huyu!Huyu dogo M. Salah naona anatafuta sifa sasa
Naona ngoma imerudi kuwa 50-50 lakinu pamoja na cameroon kudominate nafasi ya misri kushinda bado naiona.... Makameruni yanakosa kosa sana na hizi dalili sio nzuri si unakumbuka ufaransa nyumbani?Mpira hudunda Mkuu ila hawa Misri nawaona kama wana determination kubwa sana, ila nataka wapigwe leo.
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Cameroon jitahidini kombe libaki Afrika basi
Tatizo wakifika pale akili haituliihuyu mukanju anapaisha mipira anakera
Mkuu naona hawatumii nafasi za wazi kabisa wanazopata sijui hawataki kombe libaki Africa.Cameroon jitahidini kombe libaki Afrika basi
Naona ngoma imerudi kuwa 50-50 lakinu pamoja na cameroon kudominate nafasi ya misri kushinda bado naiona.... Makameruni yanakosa kosa sana na hizi dalili sio nzuri si unakumbuka ufaransa nyumbani?