2017 Afcon Final - Egypt vs Cameroon. Cameroon wamechukua ubingwa kwa kushinda kwa magoli 2-1

Hawa misr wameanza kuingiwa na,barid
 
Hamna namna lazima wafungwe tuu hata wafanyaje
 
Cameroon jitahidini kombe libaki Afrika basi
 
Mimi nasubiri Penati tu.
Napenda sana kuona magoli mengi yakifungwa kwa wakati mmoja huku makipa wakionyesha ufundi wao.
 
Mpira hudunda Mkuu ila hawa Misri nawaona kama wana determination kubwa sana, ila nataka wapigwe leo.
Naona ngoma imerudi kuwa 50-50 lakinu pamoja na cameroon kudominate nafasi ya misri kushinda bado naiona.... Makameruni yanakosa kosa sana na hizi dalili sio nzuri si unakumbuka ufaransa nyumbani?
 
Ubinafsi na kutotulia golini kwa Misri kunaweza kukawagharimu hawa Cameroon

Naona ngoma imerudi kuwa 50-50 lakinu pamoja na cameroon kudominate nafasi ya misri kushinda bado naiona.... Makameruni yanakosa kosa sana na hizi dalili sio nzuri si unakumbuka ufaransa nyumbani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…