undefine
JF-Expert Member
- Nov 17, 2016
- 442
- 1,011
Hector cuper anagundu sanaIla kocha wa Misri nae ni tatizo asee! unapigwaje fainali sita wewe tuu??!
huyu anafuatiwa kwa karibu na Patrice Mwandiga Evra na Le magician Lionel el chapo Messi pugga
Fainali yake ya uefa ya kwanza Valencia vs Madrid kapigwa ,ya pili dhidi ya Bayern kapigwa na kama sijakosea alivyokuwa Mallorca alipigwa final ya kombe la mfalme
Dah mkongwe huyu saizi bora astaafu