2018 FIFA World Cup: Yaliyojiri upangaji wa makundi ya Kombe la Dunia

This is how the groups look like after Round 2 of the draw:

Group A: Russia, Uruguay

Group B: Portugal, Spain

Group C: France, Peru

Group D : Argentina, Croatia

Group E: Brazil, Switzerland

Group F: Germany, Mexico

Group G: Belgium, England

Group H: Poland, Colombia
 
Timu za Afrika zishindwe zenyewe tu hapo, draw iko fair sana kwetu.
 
Argentina vs Nigeria. Hawa jamaa huwa wanakutana sana. Juzi kwenye friend match Argentina kachezea 4-2. Sasa wanakitana tena.
 
Fafanua zaidi mkuu, unahisi kuna "bao la mkono" mpaka huko?

Nimejaribu kufikiria kwamba kwanini waarabu wapangwe kwenye makundi yenye vigogo wengi..ofcoz bao la mkono linaweza kuwepo ila tu Kwa wenzetu linafanyika kisayansi.
 
Nimejaribu kufikiria kwamba kwanini waarabu wapangwe kwenye makundi yenye vigogo wengi..ofcoz bao la mkono linaweza kuwepo ila tu Kwa wenzetu linafanyika kisayansi.

Lakini si tumeona live walivyokuwa wanachagua timu..... mi ninaona ni bahati mbaya tuu imetokea kwa timu zetu za Africa kujikuta kwenye makundi hayo
 
*WorldCup Group Stage Draw.*
[HASHTAG]#RUSSIA[/HASHTAG] 2018


Group A
Russia
Uruguay
Misri
Saud Arabia

Group B
Portugal
Spain
Iran
Morocco


Group C
France
Peru
Denmark
Australia

Group D
Argentina
Croatia
Iceland
Nigeria


Group E
Brazil
Swirtzaland
Costa Rica
*Serbia

Group F
Germany
Mexico
Sweden
Korea republic

Group G
Belgium
England
Tunisia
Panama*

Group H
Poland
Colombia
Senegal
Japan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…