2018 FIFA World Cup: Yaliyojiri upangaji wa makundi ya Kombe la Dunia

2018 FIFA World Cup: Yaliyojiri upangaji wa makundi ya Kombe la Dunia

d.PNG
 
This is how the groups look like after Round 2 of the draw:

Group A: Russia, Uruguay

Group B: Portugal, Spain

Group C: France, Peru

Group D : Argentina, Croatia

Group E: Brazil, Switzerland

Group F: Germany, Mexico

Group G: Belgium, England

Group H: Poland, Colombia
 
Wanabodi,

Leo kuanzia saa 12 jioni kwa saa za Africa Mashariki kutakua na tukio la upangaji wa makundi ya timu zitakazoshiriki michuano ya kombe la dunia itakayofanyika nchini Russia.

Katika michuano hiyo timu 32 zitashiriki kutoka mabara tofauti, huku Africa tukiwakilishwa na nchi tano ambazo ni; Egypt, Morocco, Nigeria, Senegal na Tunisia.

Je ungependa timu za Africa zipangiwe na timu zipi? na je nafasi ya timu zetu za Africa kufanya vizuri ni ipi?

Nchi gani unanipa nafasi kubwa ya kuchukua kombe hilo?

Timu zilizofanikiwa kungia kwenye michuano hiyo ni:

Kutoka bara la Africa: Egypt, Morocco, Nigeria, Senegal na Tunisia

Kutoka bara la Asia: Austraria, Iran, Japan, Korea Republic na Saudi Arabia

Kutoka bara la Ulaya: Belgium, Croatia, Denmark, England, France, Germany, Iceland, Poland, Portugal, Russia, Serbia, Spain, Sweden, Switzerland

Kutoka bara North,Central America na Carribean: Costa Rica, Mexico na Panama

Kutoka bara la America Kusini: Argentina, Brazil, Colombia, Peru na Uruguay

Tujumuike kwa pamoja wakati tukifuatilia upangaji huo wa makundi

Hivi ndivyo timu zilivyo kwenye pots

DOyQVbKUIAAwEXo.png


Updates

Group A: Russia, Uruguay, Egypt, Saudi Arabia

Group B: Portugal, Spain, Iran, Morocco

Group C: France, Peru, Denmark, Australia

Group D: Argentina, Croatia, Iceland, Nigeria

Group E: Brazil, Switzerland, Costa Rica, Serbia

Group F: Germany, Mexico, Sweden, Korea Republic

Group G: Belgium, England, Tunisia, Panama

Group F: Poland, Colombia, Senegal, Japan
Timu za Afrika zishindwe zenyewe tu hapo, draw iko fair sana kwetu.
 
Argentina vs Nigeria. Hawa jamaa huwa wanakutana sana. Juzi kwenye friend match Argentina kachezea 4-2. Sasa wanakitana tena.
 
Fafanua zaidi mkuu, unahisi kuna "bao la mkono" mpaka huko?

Nimejaribu kufikiria kwamba kwanini waarabu wapangwe kwenye makundi yenye vigogo wengi..ofcoz bao la mkono linaweza kuwepo ila tu Kwa wenzetu linafanyika kisayansi.
 
Nimejaribu kufikiria kwamba kwanini waarabu wapangwe kwenye makundi yenye vigogo wengi..ofcoz bao la mkono linaweza kuwepo ila tu Kwa wenzetu linafanyika kisayansi.

Lakini si tumeona live walivyokuwa wanachagua timu..... mi ninaona ni bahati mbaya tuu imetokea kwa timu zetu za Africa kujikuta kwenye makundi hayo
 
*WorldCup Group Stage Draw.*
[HASHTAG]#RUSSIA[/HASHTAG] 2018


Group A
Russia
Uruguay
Misri
Saud Arabia

Group B
Portugal
Spain
Iran
Morocco


Group C
France
Peru
Denmark
Australia

Group D
Argentina
Croatia
Iceland
Nigeria


Group E
Brazil
Swirtzaland
Costa Rica
*Serbia

Group F
Germany
Mexico
Sweden
Korea republic

Group G
Belgium
England
Tunisia
Panama*

Group H
Poland
Colombia
Senegal
Japan
 
Back
Top Bottom