Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Halafu hata mwaka 2014 ilitakiwa tulibebe sema fala higuain akazinguaWatakiona cha fire....pale mbele kuna mashine kibao akiwemo na mfalme,
Dybala na Lcardi 9 hawa makinda hatari mno,,, na kuna wengine wamekosa namba
We mkuu unaota kombe linaenda America kusini tena Argentina au BrazilBingwa atatoka kati ya hizi timu nne
Germany
England
Brazil
France
Mashabiki wa Argentina na messi huwa MNA maneno mengi mnoWe mkuu unaota kombe linaenda America kusini tena Argentina au Brazil
Ila Brazil moto umeanza kupungua
Argentina ndo tunaanza kukiwasha
Hanna cha maneno ndo ukweliMashabiki wa Argentina na messi huwa MNA maneno mengi mno
Ww Uruguay alishapotea lini? Chile je? Colombia? Hivi mechi za kufuzu world cup unafananisha ushindani wa America kusini na ulaya? Ulaya ni pesa tu.Soka la ulaya linabebwa na uwepo wa mastaa wa America kusini
Yes nadhani ameshasoma na ameelewaMtolee mfano wa timu kubwa za ulaya zinabebwa/zinapewa ushindi na wakina nani?
- Barcelona/Argentina=KING
- Man city/Argentina=Aguero
- Tottenham/Argentina=erick lamela
- Juventus/Argentina=MAGICIAN Dybala na Higuain
- Inter milan/Argentina=Mauro lcardi
- Psg/Argentina=Di maria
- Psg/Argentina=Javier pastore
- Psg/Uruguay=Cavani
- Psg/Brazil=Neimar
Maradona ndani ya nyumbaView attachment 641805
Ujerumani wasahau hata robo final hawaendiBingwa atatoka kati ya hizi timu nne
Germany
England
Brazil
France
Mie nipo Argentina na BrazilNitakuwa Senegal na Nigeria,waarabu hapana
That's impossibleMie nipo Argentina na Brazil
Why?That's impossible
Huko n kama kushabikia barca na Madrid MadridWhy?
Huko n kama kushabikia barca na madridWhy?
Mie nipo Argentina na Brazil
Wakichukua Argrntina nitafurahi kwakweli.Kwa mtazamo wangu...Kati ya hizi timu moja wapo ndio atakutana final na Argentina=
Na All in All Argentina bingwa
- Germany
- Belgium
- France
- Spain or Croatia.
Wakichukua Argrntina nitafurahi kwakweli.