manenemane
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 289
- 255
Racist !!!!
Two down... Morocco, Egypt.
Two to go.... Algeria and Tunisia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Two down... Morocco, Egypt.
Two to go.... Algeria and Tunisia
Ni kichaa pekee ndio aliwapa nafasi misri kuchukua kombe, mara mia ungesema Algeria, hata huyo Tunisia hafiki popote,Yah mkuu...hongera Kwa sauzi..Mafarao ndio walikuwa wanapewa nafasi kuchukua ubingwa!
teh tehHuku kuzimu mambo ni swafi
Wote tulimpa bafana bafana
Kwa hiyo wewe utapata faida gani na dk yako ya 67. Au umebet
Hata Andrew komba alijua misri haendi popoteMi nilijua mapema sana kuwa hawa mafiraun lazima iondoke mapema sana
Nawaza Mwarabu akiandika "Haya Maafrika ya kuyaondoa yote" nini kitatokea. Kataa ubaguzi mkuu.Haya maarabu ni ya kuondoa yote
Jana benini imeniondolea moja, s.afrika aondoe lingine .
Hata mie nawapenda sana kwakweli.Nayakubaligi sana machezaji ya namna yake hayana ubishoo kazi kazi ana nidhamu mno
HahahahahahahahahUlibeti nini
Yeah.Hivi mmegundua mshindi wa kwanza na mshindi wa pili wa AFCON 2017.Wote wametolewa leo. Hahhhahahahha nina Raha Salah kutolewa. Hasa mimi mshabiki wa Man united.
Misri 0 vs 1 south AfricaView attachment 1130345
View attachment 1130346
Michuano ya kombe la mataifa ya Afrika inatazamiwa kuanza kutimua vumbi ijumaa tarehe 21/06/2019 kwa mechi kati ya wenyeji Egypt dhidi ya Zimbabwe
Michuano hiyo itahusisha mataifa 24 ambayo yamegawanywa katika makundi 6, kila kundi likiwa na timu 4
Tanzania imefanikiwa kufuzu kwenye mashindano hayo kwa mara ya pili katika historia yake, mara ya kwanza ilikuwa mwaka 1980 na imepangwa katika kundi C
Mara ya mwisho mashindano haya yalifanyika 2017 nchini Gabon ambapo Cameroon walifanikiwa kuchukua kombe baada ya kuifunga Egypt kwa magoli 2 -1 katika mechi ya fainali
Je nchi gani unaipa nafasi ya kuchukua kombe hilo?
Nini matumaini ya Tanzania kwenye mashindano hayo?
Tutakuwa tunatumia mada hii kuhabarishana tukielekea kwenye ufunguzi wa mashindano hayo, yanayojiri wakati wa mechi, matokeo na matukio yote yanayohusiana na mashindano hayo
UPDATES
Ratiba 21/06/2019: Egypt vs Zimbabwe
Matokeo: Egypt 1 - 0 Zimbabwe
Ratiba 22/06/2019: Congo vs Uganda | Nigeria vs Burundi | Guinea vs Madagascar
Matokeo: Congo 0 - 2 Uganda | Nigeria 1 - 0 Burundi | Guinea 2 - 2 Madagascar
Ratiba 23/06/2019: Morocco vs Namibia | Tanzania vs Senegal | Kenya vs Algeria
Matokeo: Morocco 1 - 0 Namibia | Tanzania 0 - 2 Senegal | Kenya 0 - 2 Algeria
Ratiba 24/06/2019: Ivory Coast vs South Africa | Tunisia vs Angola | Mali vs Mauritania
Matokeo: Ivory Coast 1 - 0 South Africa | Tunisia 1 - 1 Angola | Mali 4 - 1 Mauritania
Ratiba 25/06/2019: Cameroon vs Guinea Bissau | Ghana vs Benin
Matokeo: Cameroon 2 - 0 Guinea Bissau | Ghana 2 - 2 Benin
Ratiba 26/06/2019: Nigeria vs Guinea | Uganda vs Zimbabwe | Egypt vs Congo
Matokeo: Nigeria 1 - 0 Guinea | Uganda 1 - 1 Zimbabwe | Egypt 2 - 0 Congo
Ratiba 27/06/2019: Madagascar vs Burundi | Senegal vs Algeria | Tanzania vs Kenya
Matokeo: Madagascar 1 - 0 Burundi | Senegal 0 - 1 Algeria | Tanzania 2 - 3 Kenya
Ratiba 28/06/2019: Tunisia vs Mali | Morocco vs Ivory Coast | South Africa vs Namibia
Matokeo: Tunisia 1 -1 Mali | Morocco 1 - 0 Ivory Coast | South Africa 1 - 0 Namibia
Ratiba 29/06/2019: Cameroon vs Ghana | Benin vs Guinea Bissau | Burundi vs Guinea
Matokeo: Cameroon 0 - 0 Ghana | Benin 0 - 0 Guinea Bissau | Burundi 0 - 2 Guinea
Ratiba 30/06/2019: Madagascar vs Nigeria | Uganda vs Egypt | Zimbabwe vs Congo
Matokeo: Madagascar 2 - 0 Nigeria | Uganda 0 - 2 Egypt | Zimbabwe 0 - 4 Congo
Ratiba 01/07/2019: South Africa vs Morocco | Namibia vs Ivory Coast | Tanzania vs Algeria | Kenya vs Senegal
Matokeo: South Africa 0 - 1 Morocco | Namibia 1 - 4 Ivory Coast | Tanzania 0 - 3 Algeria | Kenya 0 - 3 Senegal
Ratiba 02/07/2019: Benin vs Cameroon | Guinea Bissau vs Ghana | Angola vs Mali | Mauritania vs Tunisia
Matokeo: Benin 0 - 0 Cameroon | Guinea Bissau 0 - 2 Ghana | Angola 0 - 1 Mali | Mauritania 0 - 0 Tunisia
UPDATES 2
Baada ya mechi za makundi nchi zilizofaulu kuingia raundi ya mtoano ni: Morocco, Benin, Uganda, Senegal, Nigeria, Cameroon, Egypt, South Africa, Madagascar, Congo, Algeria, Guinea, Mali, Ivory Coast, Ghana, Tunisia
Baada ya mechi za makundi nchi zilizotolewa ni: Tanzania, Kenya, Namibia, Burundi, Zimbabwe, Mauritania, Angola, Guinea Bissau
Round of 16
Ratiba 05/07/2019: Morocco vs Benin | Uganda vs Senegal
Matokeo: Morocco 1 - 4 Benin (Kwa mikwaju ya penalti); Dakika 90 ziliisha kwa kila timu kufunga goli 1 -1, zikaongezwa dakika 30 nazo hazikuwa na mshindi {Benin imeingia robo fainali}
Matokeo: Uganda 0 - 1 Senegal {Senegal yaingia robo fainali}
Hahahahahahahahah wanajiita THE FOX weka na watoto chini ya hahahahahahahahahAlgeria ni mgumu saana....tena saana.
Mkuu Morocco hakucheza fainali 2017 alikuwa Egypt na CameroonYeah.
Halaf Morocco na Egypt hawakufungwa hata goli 1 kwenye group stage na wote walipata 9 points ila wote wametolewa na best losers