2019 Africa Cup of Nations Special Thread

2019 Africa Cup of Nations Special Thread

Hivi mmegundua mshindi wa kwanza na mshindi wa pili wa AFCON 2017.Wote wametolewa leo. Hahhhahahahha nina Raha Salah kutolewa. Hasa mimi mshabiki wa Man united.
 
Hivi mmegundua mshindi wa kwanza na mshindi wa pili wa AFCON 2017.Wote wametolewa leo. Hahhhahahahha nina Raha Salah kutolewa. Hasa mimi mshabiki wa Man united.
Yeah.
Halaf Morocco na Egypt hawakufungwa hata goli 1 kwenye group stage na wote walipata 9 points ila wote wametolewa na best losers
 
View attachment 1130345

View attachment 1130346

Michuano ya kombe la mataifa ya Afrika inatazamiwa kuanza kutimua vumbi ijumaa tarehe 21/06/2019 kwa mechi kati ya wenyeji Egypt dhidi ya Zimbabwe

Michuano hiyo itahusisha mataifa 24 ambayo yamegawanywa katika makundi 6, kila kundi likiwa na timu 4

Tanzania imefanikiwa kufuzu kwenye mashindano hayo kwa mara ya pili katika historia yake, mara ya kwanza ilikuwa mwaka 1980 na imepangwa katika kundi C

Mara ya mwisho mashindano haya yalifanyika 2017 nchini Gabon ambapo Cameroon walifanikiwa kuchukua kombe baada ya kuifunga Egypt kwa magoli 2 -1 katika mechi ya fainali

Je nchi gani unaipa nafasi ya kuchukua kombe hilo?

Nini matumaini ya Tanzania kwenye mashindano hayo?

Tutakuwa tunatumia mada hii kuhabarishana tukielekea kwenye ufunguzi wa mashindano hayo, yanayojiri wakati wa mechi, matokeo na matukio yote yanayohusiana na mashindano hayo

UPDATES

Ratiba 21/06/2019: Egypt vs Zimbabwe

Matokeo: Egypt 1 - 0 Zimbabwe

Ratiba 22/06/2019: Congo vs Uganda | Nigeria vs Burundi | Guinea vs Madagascar

Matokeo: Congo 0 - 2 Uganda | Nigeria 1 - 0 Burundi | Guinea 2 - 2 Madagascar

Ratiba 23/06/2019: Morocco vs Namibia | Tanzania vs Senegal | Kenya vs Algeria

Matokeo: Morocco 1 - 0 Namibia | Tanzania 0 - 2 Senegal | Kenya 0 - 2 Algeria

Ratiba 24/06/2019: Ivory Coast vs South Africa | Tunisia vs Angola | Mali vs Mauritania

Matokeo: Ivory Coast 1 - 0 South Africa | Tunisia 1 - 1 Angola | Mali 4 - 1 Mauritania

Ratiba 25/06/2019: Cameroon vs Guinea Bissau | Ghana vs Benin

Matokeo: Cameroon 2 - 0 Guinea Bissau | Ghana 2 - 2 Benin

Ratiba 26/06/2019: Nigeria vs Guinea | Uganda vs Zimbabwe | Egypt vs Congo

Matokeo: Nigeria 1 - 0 Guinea | Uganda 1 - 1 Zimbabwe | Egypt 2 - 0 Congo

Ratiba 27/06/2019: Madagascar vs Burundi | Senegal vs Algeria | Tanzania vs Kenya

Matokeo: Madagascar 1 - 0 Burundi | Senegal 0 - 1 Algeria | Tanzania 2 - 3 Kenya

Ratiba 28/06/2019: Tunisia vs Mali | Morocco vs Ivory Coast | South Africa vs Namibia

Matokeo: Tunisia 1 -1 Mali | Morocco 1 - 0 Ivory Coast | South Africa 1 - 0 Namibia

Ratiba 29/06/2019: Cameroon vs Ghana | Benin vs Guinea Bissau | Burundi vs Guinea

Matokeo: Cameroon 0 - 0 Ghana | Benin 0 - 0 Guinea Bissau | Burundi 0 - 2 Guinea

Ratiba 30/06/2019: Madagascar vs Nigeria | Uganda vs Egypt | Zimbabwe vs Congo

Matokeo: Madagascar 2 - 0 Nigeria | Uganda 0 - 2 Egypt | Zimbabwe 0 - 4 Congo

Ratiba 01/07/2019: South Africa vs Morocco | Namibia vs Ivory Coast | Tanzania vs Algeria | Kenya vs Senegal

Matokeo: South Africa 0 - 1 Morocco | Namibia 1 - 4 Ivory Coast | Tanzania 0 - 3 Algeria | Kenya 0 - 3 Senegal

Ratiba 02/07/2019: Benin vs Cameroon | Guinea Bissau vs Ghana | Angola vs Mali | Mauritania vs Tunisia

Matokeo: Benin 0 - 0 Cameroon | Guinea Bissau 0 - 2 Ghana | Angola 0 - 1 Mali | Mauritania 0 - 0 Tunisia

UPDATES 2

Baada ya mechi za makundi nchi zilizofaulu kuingia raundi ya mtoano ni: Morocco, Benin, Uganda, Senegal, Nigeria, Cameroon, Egypt, South Africa, Madagascar, Congo, Algeria, Guinea, Mali, Ivory Coast, Ghana, Tunisia

Baada ya mechi za makundi nchi zilizotolewa ni: Tanzania, Kenya, Namibia, Burundi, Zimbabwe, Mauritania, Angola, Guinea Bissau

Round of 16

Ratiba 05/07/2019: Morocco vs Benin | Uganda vs Senegal

Matokeo: Morocco 1 - 4 Benin (Kwa mikwaju ya penalti); Dakika 90 ziliisha kwa kila timu kufunga goli 1 -1, zikaongezwa dakika 30 nazo hazikuwa na mshindi {Benin imeingia robo fainali}

Matokeo: Uganda 0 - 1 Senegal {Senegal yaingia robo fainali}
Misri 0 vs 1 south Africa
 
Yeah.
Halaf Morocco na Egypt hawakufungwa hata goli 1 kwenye group stage na wote walipata 9 points ila wote wametolewa na best losers
Mkuu Morocco hakucheza fainali 2017 alikuwa Egypt na Cameroon
 
Back
Top Bottom