Sikiliza TV commentary za kiarabu ndio utajua hawa jamaa if it's sports or naah!!isn't it supposed to be sports? or race?
Mchezaji wa kwanza kufunga goli la kwanza WC 2010 nyumbani S AHuenda umri nao ushamtupa, hajaitwa kwenye hichi kikosi..
Alitamba sana FIFA WC 2010 kwenye ardhi yao
Hawakuambiwa hawana lishe?Kwa kweli Pesa ndio kila kitu wasouth walipoingia tu kwenye zile best bora kila mchezaji kaingiziwa R370, 000 kwenye acc yake na wameahidiwa wakichukua kombe afcon timu it apewa 20ml, usishangae Leo kuwafunga Egypt
Unajua kuna wakati unawaona watu wana nguvu ya kushinda,unaamini watashinda siyo kuwa unapenda washinde. Bali cinditions zinakuwa more favorable kwa wao kushinda.Khaaaaa, sasa hivi unasema unajisikia raha Egypt kufungwa....
Portugal.Ilikuwa nchi gani?
Hapa tunapata fundisho kubwa sana hata kwenye maisha.Yeah.
Halaf Morocco na Egypt hawakufungwa hata goli 1 kwenye group stage na wote walipata 9 points ila wote wametolewa na best losers
Leo ningebet kwa hela. Mbona ningekoma.[emoji134][emoji134]
Aiseee. Jana nilikuwa Cameroon Best. 😔😔
Na game ya Misri ndio naona sasa kumbe South ameshinda bwana. Hata sijategemea aiseee best.
Pamoja na ushindi wao,ile timu bado sana. Bahati imekuwa upande wao tu. Nawatakia heri zaid ktk bahat kuendelea kuwa kwao na moyo wa upiganaji uzidi ktk game inayokuja.South Africa amepiga ball sijaona timu yoyote ya afcon ikicheza style ile ya kushambulia na kuzuia imenikumbusha Brazil ya kina romario .
[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]Duh mikeka imechanika haswaaa !
Ungebet ungekunya makinikiaLeo ningebet kwa hela. Mbona ningekoma.
Na game ya Misri ndio naona sasa kumbe South ameshinda bwana. Hata sijategemea aiseee best.
Bora huyu kwani kuna wenyeji wengine huwa wanatolewaga hatua ya makundi tu.Mwenyeji kutolewa mbaya kabisaaa
Imeharibu radha na mashamsham halisi kwa wenyeji na mashindano