2019 Africa Cup of Nations Special Thread

2019 Africa Cup of Nations Special Thread

Wakati mashindano yanaanza nilikuwa na fikra ya kuwa Senegal ndo bingwa wa Afcon hii.
Kwa yanayoendelea sasa napata imani kuwa hili kombe anaweza chukua aliyepita kama best loser,na naenda kwa DRC Congo...
 
Acha mipasho kama unaimba taarabu,usituletee racism kwenye michezo,dunia inakwenda mbele wewe unarudi nyuma!! u are just a racist,hilo ni kombe la Africa na Africa ni moja bila kujali skin colour wala dini.
Wewe jamaa una matatizo gani!???
kwahiyo wapi hapo nimefanya racism???
Tuache ujinga watu weusi...
Wapi nimeigawanya hiyo Africa??
Mimi nimetoa utabiri wangu kama walivyotoa wengine sasa racism imeingiaje hapa??

Haya basi Algeria atachukua kombe umeridhika???
 
Tulianza na timu 24 sasa zimepungua nakubaki timu 16 ambazo kwa kipindi cha miaka ya nyuma ndiyo zilikuwa idadi ya timu zinazo qualify kwenye mshindano ya Afcon. Sasa kwa lugha nyingine nikama vile Afcon ya mwaka huu ndo inaanza rasmi.

Atua ya 16 bora itaanza tarehe 5 siku ya ijumaa ambapo zitapigwa game mbili. Hii hapa ratiba kamili ya 16 bora.

Friday 5
Morocco vs Benin
Uganda vs Senegal

Saturday 6
Nigeria vs Cameroon
Egypt vs South Africa

Sunday 7
Madagascar vs DR Congo
Algeria vs Guinea

Monday 8
Mali vs Ivory Coast
Ghana vs Tunisia

Sio kama naichukia Uganda ila naona safari yao imewadia, Nigeria bye bye , Congo kwaeli ya kuonana, South Africa msalimieni Sana Mh. Rais Ramaphosa, Benin tutakutana tena mungu akipenda, Guinea tuliwapenda sana ila mungu kawapenda zaidi. Mali vs Ivory Coast, Ghana vs Tunisia hizo mechi wapenzi wakubet msiweke pesa yenu hapo nipagumu kweli kweli.
Mkuu naona kweny kubet umepaisha kabisa;bora ungepiga mwamba
 
Mpaka sasa best loser wawili washapita robo na si ajabu Congo naye akavuka japo mpira unadunda.

South Africa na Benin.
 
Wewe jamaa una matatizo gani!???
kwahiyo wapi hapo nimefanya racism???
Tuache ujinga watu weusi...
Wapi nimeigawanya hiyo Africa??
Mimi nimetoa utabiri wangu kama walivyotoa wengine sasa racism imeingiaje hapa??

Haya basi Algeria atachukua kombe umeridhika???
Huna akili ya kuelewa nilichokiandika,ukikua utakua kukumbuka nilichokwambia.
 
Back
Top Bottom