2019 Africa Cup of Nations Special Thread

2019 Africa Cup of Nations Special Thread

Hadi hapa napenda kuchukua fursa ya kujipongeza mwenyewe kwa mkeka huu ulivyotiki barabara.

Mkeka wa lala salama utakuwa namna hii.

1. Bingwa AFCON 2019 - Algeria (Timu iliyofungwa magoli 2 hadi sasa ndani ya dk 90)
2. Mshindi wa Pili - Senegal
3. Mshindi wa Tatu - Nigeria
4. Mshindi wa Nne - Tunisia.

View attachment 1153845

Kwa mara hii umepoteza mkuu

Kabisaa

Senegal anabeba ndoo
 
Kwa haya mashindano timu kutoka afrika kaskazini wanaonewa tu, hakuna mechi watakayocheza na sisi magiza refa akawa mweupe lazima refa awe mweusi, nusu fainali ya kwanza refa kakataa penati kwa var kisa yeye mweusi na penati inawaathiri weusi, nusu fainali ya pili refa kakubali penati kisa yeye mweusi na penati inawabeba weusi

Umeongea point kiongozi, sijaona refa mweupe ata mmoja, wote weusi. Penati nyingi tu wamenyimwa waarabu. Hii ni dhuluma kabisa wamefanyiwa.
 
Back
Top Bottom