2019 Africa Cup of Nations Special Thread

Na hilo ndio jambo kubwa la msingi
Mechi itaamuliwa kwa umakini au ubovu wa referee

Good referee....tutampata champion halisi

Poor refereeing....rutampata champion fake

Of all Senegal will emerge the champion

Lakini tukubali tu mkuu weusi tumebebwa sana haya mashindano πŸ˜€. Na isitoshe marefarii weupe hawakuchezesha.
 
Lakini tukubali tu mkuu weusi tumebebwa sana haya mashindano πŸ˜€. Na isitoshe marefarii weupe hawakuchezesha.

Nani kabebwa mkuu kwa vigezo gani

🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 

Tunaombea Algeria wabebe ndoo. Maanna wamepitia wakati mgumu sana kucheza na timu za kubebwabebwa. Yani ningelikuwa raisi wa CAF nawapa tu Algeria 😎😎
 

Awepo asiwepi sisi 2napiga tu 😁😁😁
 
Kwa mara hii umepoteza mkuu

Kabisaa

Senegal anabeba ndoo
Mkuu mkeka ushatiki kwenye nafasi ya 3, tusubiri kesho tumalizie kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…