Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,670
Poa, tunaingia uwanjani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha INA maan akishinda mmojawapo mungu atakua na upendeleo?Ndo maana Johan Cruyff ,Mungu angekuwa anasaidia team zishinde basi zingekuwaga zinatoka draw. Maana team zote mbili wanamwomba Mungu. Mind you that Mungu hana upendeleo.
Ndo maana yake.Ha ha ha INA maan akishinda mmojawapo mungu atakua na upendeleo?
Nakukatalia.Kenya wana nafasi sawa na sisi tu!
Ha ha ha INA maan akishinda mmojawapo mungu atakua na upendeleo?
Nakukatalia.
Kenya anabebwa na rekodi tu lakini leo tunampiga.
Algeria wameifunga Senegal 1 - 0 na hivyo kuifanya Taifa stars ambayo itaifunga Harambee Stars ya Kenya muda mfupi ujao kuwa katika nafasi nzuri ya kusonga mbele.
Nitarudi baadae kuweka msimamo wa kundi letu.
Maendeleo hayana vyama!
Yap na ndo LA msingi San ila sisi wabongoland tunatumia hisia zaid na kumchosha mungu wetu wakat uwezo wote wa nn cha kufny tunaoNdo maana huwa sioni kuwa ni vema kumhusisha Mungu kwenye masuala yanayohitaji uwajibikaji zaidi kuliko imani!
Tunaweza kutinga second round hivi hivi. Ukizingatia Algeria washaqualify. Hivyo mechi ijayo watapumnzisha majembe yao.Kipofu leo anataka kuona
Algeria tayari ana point 6, hatatukomalia!Sio rahis. Maana game ijayo tz anakuta a na algeria. Uwezekano wa kushinda ni mdogo sana
Huko mbele kugumu hakuna kubahatishaTunaweza kutinga second round hivi hivi. Ukizingatia Algeria washaqualify. Hivyo mechi ijayo watapumnzisha majembe yao.