herzegovina
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 3,143
- 4,724
Nadhan hatarudia tena maombi ya hivi.Ungewaambia Mungu hashirikishwi na mambo ya kijinga
Walitamani awe refariiTatizo walimsahau jecha
Tuwapige goli la tatu ili tujihakikishie pwenti tatu...Algeria atapanga kikosi mchekea tutatoa droo, then best loser inatuhusu tunasonga mbele.
Kwasasa atakuwa anapiga kinywaji flani hivi cha bei mbaya huku akisikiliza wimbo wa "Mtetezi Wangu Yu Hai"Unahisi Mh. Job ana kunywa nini huko alipo sa hivi?
Powa mkuuChief Imhotep,naheshimu uwezo wako wa fasihi. Naomba ulipitie upya bandiko. Najua utaelewa mkuu.
Wameumbuka mkuuWengine wanamtegemea zaidi mfalme kokoto ndo maana walijihakikishia ushindi pindi wakanyagapo ardhi ya mafarao.
.Wameshapigwa 3
Wakiongozwa na yule mwenyekitiNaunga hoja mkono.
Nivyoona jinsi walivyoanza round y pili nikajua imekula kwetu.
Njoo useme tena.Tanzania 2 Kenya 1