2019 Africa Cup of Nations Special Thread

Mkuu unajua sababu ya hili siyo siri huyo mtu na kundi lake la wahuni wenzie wanachukiwa sana. Wameiua Taifa Stars na kuifanya ccm stars. Sikutegemea kuona Watanzania tukiichukia hii timu kiasi hiki lakini wa kulaumiwa Mkuu unawajua wakiongozwa na yule nduli na dikteta wa Ikulu.

jamani wazalendo rudini kundini jamani
 
Nimefurahi sana pia, kuna kiongozi Mmoja ukubwa tuu wa tifuatifua ashawahi kuingiza siasi kabisa kwenye moja ya mikutano yake kwa kumdhihaki mbunge wa singida
 
Nikisemaga chama kile hamna akili ni hamna akili kweli...sasa hapa naye kaandika...na mtaendelea kufundishwa adabu..
 

Matacour ya Bashite na awamu ya 5!

Wakenya wangepiga 100-0 kabisa!
 
Safi sana wakenya nawapongeza kwakua ninyi mliwakilisha taifa, sisi team yetu iliwakilisha kikundi cha watu.

Sijajua kwa Ujumbe huu niliouona katika Mitandao mbalimbali ya Wakenya watakuwa wamemaanisha nini labda....

" Watanzania bana...yaani Wao walidhani kutuletea Yule Kiongozi wao wa Mkoa mwenye Kiherehere, Matege ya Ubanio na Matako ( Makalio ) makubwa kuliko hata Dada zetu wa Kikenya ndiyo angetutisha Wakenya na Harambee Stars yetu ili tushindwe Kuwafunga? "
 
Nashangaa kwanini hili halikemewi kwanza raisi wa tff naye ndio boga kichwa chake mwana ccm damu damu yani siasa tupu
 
Dah!
 
Safi sana wakenya nawapongeza kwakua ninyi mliwakilisha taifa, sisi team yetu iliwakilisha kikundi cha watu.
Wapumbavu waliookotwa majalalani walipofika misri wameketa nuksi kwa timu yetu na kupelekea kufungwa, hongera zao kenya, ni fundisho kwa wabwabwajaji ovyo wajue mpira syo siasa.
Mi ngoja niende bar nikajipongeze kwa kufungwa maana tungewafunga dar ingezizima nyambaafu bashite
 
Nimefurahi sana pia, kuna kiongozi Mmoja ukubwa tuu wa tifuatifua ashawahi kuingiza siasi kabisa kwenye moja ya mikutano yake kwa kumdhihaki mbunge wa singida
Ngoja ninywe na bia
 
Reactions: usy
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…