2019 Africa Cup of Nations Special Thread

Siyo kwamba watz hawaipendi taifa stars , ila TFF wamekosea sana kuruhusu wanasiasa katika timu ya taifa

Ccm 2. Kenya 3

Stliglier gorge
SGR
ATCL
 
Daah! Hatimaye tumeshatimiza malengo ya kushiriki AFCON.

Kwa mbaali nilijutia usingizi wangu wa jana kukaa macho mpaka saa saba na mwishowe kuambulia kichapo.
Mi hata kabla ya michuano nilijua tz itaenda kutalii tu

Haitashinda mechi hata moja , kwahiyo hata Sina presha
 
Mi hata kabla ya michuano nilijua tz itaenda kutalii tu

Haitashinda mechi hata moja , kwahiyo hata Sina presha
Daah! Afadhali uliyajua hayo mapema mimi niliweka matumaini mechi ya jana kwamba ingetutoa kimasomaso ila kwa kuwa ilikuwa kinyume basi hapa najua ndio ishatoka kwani kwa Algeria hatuambulii kitu pale.
 
Daah! Afadhali uliyajua hayo mapema mimi niliweka matumaini mechi ya jana kwamba ingetutoa kimasomaso ila kwa kuwa ilikuwa kinyume basi hapa najua ndio ishatoka kwani kwa Algeria hatuambulii kitu pale.
Ila kitendo cha kushiriki ile michuano baada ya miongo karibia 4 ni ushindi mkubwa kwetu ila wakati wetu wa kufanya vyema haupo mbali.
 
Ila kitendo cha kushiriki ile michuano baada ya miongo karibia 4 ni ushindi mkubwa kwetu ila wakati wetu wa kufanya vyema haupo mbali.
Na kweli Mkuu japo tuombee kufanikiwa tena kushiriki safari ijayo kwani nje ya hapo ikapita miaka zaidi ya kumi basi tukija kushiriki tutaanza tena upyaaa.
 
Hahahaaaa. Msameheni bana best maana kajua kuwaudhi sana.

Poleni maana naona wana CDM wote mumeichukia Taifa Stars kisa hiyo Clip. Lol
Ana mambo ya ajabu sana huyo jamaa alissema Taifa stars itashinda kama CCM inavyoshindanga nikajiuliza CCM huwa inashinda au inaiba,nilitegemea kuona mikakati ya kuiba magoli jana lakini sikuona kitu labda alimkosa Jecha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…