Siyo kwamba watz hawaipendi taifa stars , ila TFF wamekosea sana kuruhusu wanasiasa katika timu ya taifaView attachment 1130345
View attachment 1130346
Michuano ya kombe la mataifa ya Afrika inatazamiwa kuanza kutimua vumbi ijumaa tarehe 21/06/2019 kwa mechi kati ya wenyeji Egypt dhidi ya Zimbabwe
Michuano hiyo itahusisha mataifa 24 ambayo yamegawanywa katika makundi 6, kila kundi likiwa na timu 4
Tanzania imefanikiwa kufuzu kwenye mashindano hayo kwa mara ya pili katika historia yake, mara ya kwanza ilikuwa mwaka 1980 na imepangwa katika kundi C
Mara ya mwisho mashindano haya yalifanyika 2017 nchini Gabon ambapo Cameroon walifanikiwa kuchukua kombe baada ya kuifunga Egypt kwa magoli 2 -1 katika mechi ya fainali
Je nchi gani unaipa nafasi ya kuchukua kombe hilo?
Nini matumaini ya Tanzania kwenye mashindano hayo?
Tutakuwa tunatumia mada hii kuhabarishana tukielekea kwenye ufunguzi wa mashindano hayo, yanayojiri wakati wa mechi, matokeo na matukio yote yanayohusiana na mashindano hayo
UPDATES
Ratiba 21/06/2019: Egypt vs Zimbabwe
Matokeo: Egypt 1 - 0 Zimbabwe
Ratiba 22/06/2019: Congo vs Uganda | Nigeria vs Burundi | Guinea vs Madagascar
Matokeo: Congo 0 - 2 Uganda
Nigeria 1 - 0 Burundi
Guinea 2 - 2 Madagascar
Ratiba 23/06/2019: Morocco vs Namibia | Tanzania vs Senegal | Kenya vs Algeria
Matokeo: Morocco 1 - 0 Namibia | Tanzania 0 - 2 Senegal | Kenya 0 - 2 Algeria
Ratiba 24/06/2019: Ivory Coast vs South Africa | Tunisia vs Angola | Mali vs Mauritania
Matokeo: Ivory Coast 1 - 0 South Africa | Tunisia 1 - 1 Angola | Mali 4 - 1 Mauritania
Ratiba 25/06/2019: Cameroon vs Guinea Bissau | Ghana vs Benin
Matokeo: Cameroon 2 - 0 Guinea Bissau | Ghana 2 - 2 Benin
Ratiba 26/06/2019: Nigeria vs Guinea | Uganda vs Zimbabwe | Egypt vs Congo
Matokeo: Nigeria 1 - 0 Guinea | Uganda 1 - 1 Zimbabwe | Egypt 2 - 0 Congo
Ratiba 27/06/2019: Madagascar vs Burundi | Senegal vs Algeria | Tanzania vs Kenya
Matokeo: Madagascar 1 - 0 Burundi | Senegal 0 - 1 Algeria | Tanzania 2 - 3 Kenya
Ccm 2. Kenya 3
Stliglier gorge
SGR
ATCL