Algeria Mswalieni Mtume
Wanatuthibitishia kuwa hata Kahaba ukiamua unaweza kumtoa bikra
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Algeria Mswalieni Mtume
Hahahahaha. AFCON 2019 inanipa raha.
Kuna beki anaitwa mwantika,pale akili ya mpira hamnaSijui niliwazaga nini kutofatilia kabisa ligi ya Tanzania yaani mechi ya leo ninayemfahamu kwa jina ni samata tu,nipo na marafiki zangu hapa wamenuna wanatukana kila wakati.mimi nacheka tu
Hao washkaji zako waonyeshe hio video hapo chini.Sijui niliwazaga nini kutofatilia kabisa ligi ya Tanzania yaani mechi ya leo ninayemfahamu kwa jina ni samata tu,nipo na marafiki zangu hapa wamenuna wanatukana kila wakati.mimi nacheka tu
ccm staaa Mkuu
Labda Plan B Jecha yupo bench.Kwanini kocha asimuingize Bashite? Kocha msaliti huyu, anamuachaje kiungo bora Daud Albert Bashite!
Umesahau pyupyuBila wao tushapigwa tatu. Wakiingia je? Yaani leo tunashindwa na team B.Tanzania tunaweza umbea tu.
Algeria 3
CCM STARS 0
Half time
Pyupyu inamaanisha nini tena?Umesahau pyupyu
Naona unashangilia tuu hapaIlani zinazidi kutekelezwa
CCM sio ya kuionea huruma ni wa kupiga tu MAHREZ na BAGHDAD second half wanahitajikaHao wanapumnzishwa leo kwa ajili ya mechi muhimu ijayo.