2019 Africa Cup of Nations Special Thread

2019 Africa Cup of Nations Special Thread

Vijana wanapambana sana. Sema ndio hivyo tunakutana na mafundi.

Viva stars viva tanzania
 
Kenya 🇰🇪 bado wanakula sahani moja na Senegal 🇸🇳 dakika ya 51 0-0
 
Hawa wachezaji wetu....naomba niseme hawachezagi mpira...wameanzia kucheza misri.
 
Tumekutana na timu mbili za kiwango cha dunia.


Mbali na kufungwa stars wanacheza mpira kweli unaonekana.
Ni kwamba tu algeria ni timu ya dunia mkuu. Yaani tumepigwa magori yote matamu.tofauti na kenya tulifungwa goli za kijinga. Tunaweza kufanya poa michuano ijayo.
ukitoa kufungwa timu inabadilika tofauti na mechi ya kwanza.
Imebadilika huku inaendelelea kuchezea kichapo? Hahaaaa
 
Wanabodi hivi makondoo fc washapigwa vingapi hadi sasa?
 
Kifuatacho hapa tunakula mkono,acha nikalale wale wenzangu wenye mioyo ya chuma mtanipa matokeo.
 
Hahah
Screenshot_20190701-232023.jpeg
 
Wanapambana???

Hawajui mpira.
Hawa wachezaji wetu....naomba niseme hawachezagi mpira...wameanzia kucheza misri.
@daby hii timu inahitaji maombi saana na miujiza.

Kwani shida ni nini haswa?? Paka tunafungwa hivi??

Alafu baada ya miaka30 watassema dah tulivyo fuz afcon 2019 tulicheza saana kama wale wakina pita tino na pondamali wanavyo jisifu kucheza afcon kisha haawakuenda next stage
 
Back
Top Bottom