2019 Africa Cup of Nations Special Thread

Vijana wanapambana sana. Sema ndio hivyo tunakutana na mafundi.

Viva stars viva tanzania
 
Kenya 🇰🇪 bado wanakula sahani moja na Senegal 🇸🇳 dakika ya 51 0-0
 
Hawa wachezaji wetu....naomba niseme hawachezagi mpira...wameanzia kucheza misri.
 
Mane kakosa penalty kwa Senegal
 
Hiyo ni ccm stars sio timu ya taifa!!!
 
Imebadilika huku inaendelelea kuchezea kichapo? Hahaaaa
 
Wanabodi hivi makondoo fc washapigwa vingapi hadi sasa?
 
Kifuatacho hapa tunakula mkono,acha nikalale wale wenzangu wenye mioyo ya chuma mtanipa matokeo.
 
Wanapambana???

Hawajui mpira.
Hawa wachezaji wetu....naomba niseme hawachezagi mpira...wameanzia kucheza misri.
@daby hii timu inahitaji maombi saana na miujiza.

Kwani shida ni nini haswa?? Paka tunafungwa hivi??

Alafu baada ya miaka30 watassema dah tulivyo fuz afcon 2019 tulicheza saana kama wale wakina pita tino na pondamali wanavyo jisifu kucheza afcon kisha haawakuenda next stage
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…