2019 Africa Cup of Nations Special Thread

2019 Africa Cup of Nations Special Thread

Najua wengi mmekata tamaa baada ya kupokea kichapo mujarabu kutoka kwa Senegal, Ila Huwezi amini hii timu itavuka hatua hii ya makundi.

Raundi inayofata Itakuwa Kama ifuatavyo:
Tanzania itashinda 2-0 mechi ya kenya na kuwa na point 3 .

Algeria atamfunga senegal 3-0 na kufikisha point 6

Msimamo utakuwa

1. Algeria 6
2. Senegal 3
3.Tanzania 3
4. Kenya 0


Raundi ya mwisho

Tanzania atadraw bila kufungana na Algera na kufikisha point 4

Kenya atadraw 1-1 na Senegal na kufikisha point 3

Msimamo wa mwisho utakuwa

1.Algeria point 7 goli difference 5
2. Tanzania point 4 goli difference 0
3. Senegal point 4 goli difference -1
4. Kenya point 3 goli difference-4

Hivyo Tanzania itaipita senegal kwa tofauti ya ma goli ya kufunga na kufungwa.


Najua wengi mtabeza lakini mwisho wa siku mtanitafuta ili niwatabirieni mambo yenu yajayo
jichagulie tusi wewe mwenyewe!
 
Inawezekana kabisa,,,kwenye soka lolote lanaweza kutokea
 
Najua wengi mmekata tamaa baada ya kupokea kichapo mujarabu kutoka kwa Senegal, Ila Huwezi amini hii timu itavuka hatua hii ya makundi.

Raundi inayofata Itakuwa Kama ifuatavyo:
Tanzania itashinda 2-0 mechi ya kenya na kuwa na point 3 .

Algeria atamfunga senegal 3-0 na kufikisha point 6

Msimamo utakuwa

1. Algeria 6
2. Senegal 3
3.Tanzania 3
4. Kenya 0


Raundi ya mwisho

Tanzania atadraw bila kufungana na Algera na kufikisha point 4

Kenya atadraw 1-1 na Senegal na kufikisha point 3

Msimamo wa mwisho utakuwa

1.Algeria point 7 goli difference 5
2. Tanzania point 4 goli difference 0
3. Senegal point 4 goli difference -1
4. Kenya point 3 goli difference-4

Hivyo Tanzania itaipita senegal kwa tofauti ya ma goli ya kufunga na kufungwa.


Najua wengi mtabeza lakini mwisho wa siku mtanitafuta ili niwatabirieni mambo yenu yajayo
20190624_173401.png
 
Najua wengi mmekata tamaa baada ya kupokea kichapo mujarabu kutoka kwa Senegal, Ila Huwezi amini hii timu itavuka hatua hii ya makundi.

Raundi inayofata Itakuwa Kama ifuatavyo:
Tanzania itashinda 2-0 mechi ya kenya na kuwa na point 3 .

Algeria atamfunga senegal 3-0 na kufikisha point 6

Msimamo utakuwa

1. Algeria 6
2. Senegal 3
3.Tanzania 3
4. Kenya 0


Raundi ya mwisho

Tanzania atadraw bila kufungana na Algera na kufikisha point 4

Kenya atadraw 1-1 na Senegal na kufikisha point 3

Msimamo wa mwisho utakuwa

1.Algeria point 7 goli difference 5
2. Tanzania point 4 goli difference 0
3. Senegal point 4 goli difference -1
4. Kenya point 3 goli difference-4

Hivyo Tanzania itaipita senegal kwa tofauti ya ma goli ya kufunga na kufungwa.


Najua wengi mtabeza lakini mwisho wa siku mtanitafuta ili niwatabirieni mambo yenu yajayo
Nasikia eti mtanzania yeyote hata kama ni kabila gani ukiwa usingizini ndoto lazima uote kwa kiswahili
 
Najua wengi mmekata tamaa baada ya kupokea kichapo mujarabu kutoka kwa Senegal, Ila Huwezi amini hii timu itavuka hatua hii ya makundi.

Raundi inayofata Itakuwa Kama ifuatavyo:
Tanzania itashinda 2-0 mechi ya kenya na kuwa na point 3 .

Algeria atamfunga senegal 3-0 na kufikisha point 6

Msimamo utakuwa

1. Algeria 6
2. Senegal 3
3.Tanzania 3
4. Kenya 0


Raundi ya mwisho

Tanzania atadraw bila kufungana na Algera na kufikisha point 4

Kenya atadraw 1-1 na Senegal na kufikisha point 3

Msimamo wa mwisho utakuwa

1.Algeria point 7 goli difference 5
2. Tanzania point 4 goli difference 0
3. Senegal point 4 goli difference -1
4. Kenya point 3 goli difference-4

Hivyo Tanzania itaipita senegal kwa tofauti ya ma goli ya kufunga na kufungwa.


Najua wengi mtabeza lakini mwisho wa siku mtanitafuta ili niwatabirieni mambo yenu yajayo
Kwa ubashiri wako huu unasema Kenya atakuwa na point 3 halafu atafungwa(loss) mechi 2 na kudraw mechi 1.

[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
Itakuwa ni dhambi kubwa na kutokuutendea haki mchezo mzuri wa mpira wa miguu na wapenzi wake kwa timu hii ya Taifa Stars kufuzu kwa hatua ya mtoano halafu moja kati ya timu nzuri ya Senegal au Algeria kutolewa!..
Tuendelee kujipanga kwa kufuata njia sahihi za walipofika wenzetu na sio kutegemea "imani" zisizokuwepo!.
 
Itakuwa ni dhambi kubwa na kutokuutendea haki mchezo mzuri wa mpira wa miguu na wapenzi wake kwa timu hii ya Taifa Stars kufuzu kwa hatua ya mtoano halafu moja kati ya timu nzuri ya Senegal au Algeria kutolewa!..
Tuendelee kujipanga kwa kufuata njia sahihi za walipofika wenzetu na sio kutegemea "imani" zisizokuwepo!.
Nadhani hajawaona Algeria walivomnyanyasa kenya jana...
 
Back
Top Bottom