Bukali
JF-Expert Member
- May 7, 2018
- 1,264
- 835
Mimi naona mlio wengi munalaum CCM, mnafikiri kwa kariba ya wachezaji tulionao hata ingelisimamiwa na Chadema tungeshinda?
Acheni kujificha kwenye shamba la Mihogo inayo chipua. Ukweli timu za bongo hazikosi sababu leo hii Jamiiforum ndo kisima cha habari na uchambuzi mzuri tunakuja na hoja au majibu mepesi kabisa. Tumepoteza sababu ya CCM. Mnajua kufuzu tumebebwa na Uganda na baada ya kuongezwa timu kuwa 24.
Acheni kujificha kwenye shamba la Mihogo inayo chipua. Ukweli timu za bongo hazikosi sababu leo hii Jamiiforum ndo kisima cha habari na uchambuzi mzuri tunakuja na hoja au majibu mepesi kabisa. Tumepoteza sababu ya CCM. Mnajua kufuzu tumebebwa na Uganda na baada ya kuongezwa timu kuwa 24.