2019 Africa Cup of Nations Special Thread

2019 Africa Cup of Nations Special Thread

Nikiwa kama mtanzania mzalendo harisi nimefurahi sanaa kipigo cha 3-2 tulicho kipata kutoka kenya... Maana team yetu ya taifa inatumika kama ngazi kisiasa...

Kuna bwana mmoja ambaye hajielewi alisikika akisema watashinda kama wanavyo shinda chaguzi za CCM kwakua taifa stars ni CCM... Nikiwa kama mzalendo hiyo kauli sikuipenda...

Na kingine yule bwana kujinasibu kwamba yeye akienda basi taifa stars itashinda yeye ni nani kwenye soccer...

Tukumbuke kua soccer haihitaji janja janja mpira ni mchezo wa wazi unao hitaji ujuzi.. kwakweli magoal ya msuva na samatta yaliniuma sanaa na kunisononesha moyo...

Mpira ni moja kati ya michezo inayo kutanisha watu na kujenga umoja na udugu ndio maana sisi watu wa mpira tunapinga ubaguzi wa aina yoyote...

TAIFA STARS NI YA WATANZANIA WOTE NA SIO YA CCM PEKEE NDIO MAANA MNAOMBA MICHANGO KWETU SISI WANANCHI...

yule bwana ni kweli hajielewi
natamani wakuelewe.
 
Kuna mkenya nimemsikia akiongea haya maneno

Watanzania bana...yaani Wao walidhani kutuletea Yule Kiongozi wao wa Mkoa mwenye Kiherehere, Matege ya Ubanio na Matako ( Makalio ) makubwa kuliko hata Dada zetu wa Kikenya ndiyo angetutisha Wakenya na Harambee Stars yetu ili tushindwe Kuwafunga? "
Duuuh, hatari sana
 
Hata kama Timu yetu imepoteza game hii dhidi ya Harambee Stars bado wachezaji wetu wanastahili pongezi kubwa sana , wamecheza kitimu ( total football ) na tena walikuwa na kasi sana hasa first half , ukilinganisha na game ya kwanza hii ilikuwa game nzuri mno ! nadhani malumbano na migongano ya viongozi

FB_IMG_1561547021459.jpg


iliyosambaa mitandaoni ilisaidia kuongeza hamasa yao uwanjani

Vinginevyo kwenye soka kuna kufunga na kufungwa , mpira umechezwa na Kenya wameshinda , niwaombe sasa wadau wote mliojitenga na timu hii rudini kundini tuifariji timu yetu , hii ni timu ya Taifa tuondoe tofauti zetu , maana imedhihirika sasa kwamba mtu mmoja mmoja hawezi kuleta mabadiliko ikiwa wengi wamejitenga , wanaoumia ni wachezaji wetu .

Umoja ni nguvu
 
Kwa kifupi kabisa

Harambee Stars waliombewa na Wakenya wote...lakini pia waliombewa na watanzania wapatao 59,999,910 ili washinde. Hapo ilikuwa ni lazima wapate ushindi tu. Ushindi huu umewafurahisha wakenya wengi na pia umewafurahisha watanzania wengi....EAST AFRICA STAND UP

TOGETHER WE STAND, ALONE WE FALL
Everybody say yeeeeeeeeeeeah
 
Kwa kifupi kabisa

Harambee Stars waliombewa na Wakenya wote...lakini pia waliombewa na watanzania wapatao 59,999,910 ili washinde. Hapo ilikuwa ni lazima wapate ushindi tu. Ushindi huu umewafurahisha wakenya wengi na pia umewafurahisha watanzania wengi....EAST AFRICA STAND UP

TOGETHER WE STAND, ALONE WE FALL
1140625
 
Back
Top Bottom