2019 Africa Cup of Nations Special Thread

2019 Africa Cup of Nations Special Thread

Sadio Mabe anakosa Penalt. Mane sio mzuri kwa Penalt. 2017 alikosa Penalt. Sijui kwa nini anaendelea kupiga penalties?
 
Washakufa moja huko.
Na ndio kwaheri kwakuwa best looser hawana nafasi
Wazidishe maombi wanaweza kupenya.
IMG_20190701_214832.jpg
 
Nyie watu wa Algeria jueni tumewatanguliza kwa baiskeli ya mbao.

Algeria moja timu ya wazalendo sifuri.
 
Back
Top Bottom