Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
- Thread starter
- #41
Sweden illifunga Thailand 5-1; golikipa wa Thailand alikuwa hakufanya jitihanda za kutosha kuzia magoli.
USA illifunga Chile 3-0, ila golikipa wa Chile Bibie Endler alizuia mabao mengi sana; ilifikia watanangazaji wanamwita kuwa ni the best goalkeer in the world. Ifingekuwa jitihada zake Chile pia ingenyeshewa mvua ya mabao
China na Spain wametoka sare ya 0-0 wakati Ujerumaniimeibugiza South Africa 4-0. Kwa hiyo South Africa mbio zao zimefikia ukingoni. China imekuwa ya tatu kwa sababu GD inawa ina point sawa na Spain kwenye kundi B
USA illifunga Chile 3-0, ila golikipa wa Chile Bibie Endler alizuia mabao mengi sana; ilifikia watanangazaji wanamwita kuwa ni the best goalkeer in the world. Ifingekuwa jitihada zake Chile pia ingenyeshewa mvua ya mabao
China na Spain wametoka sare ya 0-0 wakati Ujerumaniimeibugiza South Africa 4-0. Kwa hiyo South Africa mbio zao zimefikia ukingoni. China imekuwa ya tatu kwa sababu GD inawa ina point sawa na Spain kwenye kundi B