Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Kwa kweli nimeziendesha aina zote na nimeipenda zaidi XC60 ni economy sanaVolve watachukua dunia hivi karibuni. XC90, XC60, XC40 zinasifiwa saana kwa features kibao.
Badala ya kuzichezea hela kwingine bora nikaendeshe Porsche masaa matatu mzee au nikaangalie tu huku nakunywa kahawa pembeni nikisikiliza sauti za kila ainaSafi saana mkuu. Hizo mambo sinaondoa msongo wa mawazo saana. Watu hawajui tu.
Rwanda?Rwanda wanaelekea huko. Nafikiri ni VW wamefungua plant huko, wanataka kuzalisha gari za umeme zinazokidhi mazingira ya kwetu.
Rwanda?
Jamani why not us?
Hivi lini tutakuwa na plant na sisi
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Kwa kweli jamaa wameamua. Hiyo nchi baada ya miaka michache watakuwa mbali saana.Rwanda?
Jamani why not us?
Hivi lini tutakuwa na plant na sisi
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Hehehee! Kweli. Hata kuangalia tu nafsi inasuuzika. Ulisha attend a Formula 1 race? Mie nina hiyo dream kwa kweli.Badala ya kuzichezea hela kwingine bora nikaendeshe Porsche masaa matatu mzee au nikaangalie tu huku nakunywa kahawa pembeni nikisikiliza sauti za kila aina
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Kweli GT-R ni mashine. Nafikiri kwa Wajapan hakuna anayetia mguu. Ile Lexus LFA watu wanaipendea special features zake, ila kwenye technology na mbio, inasubiri kwenye GT-R.Yupo jirani yangu hapa nyumba ya 3 anayo R34 kaagiza kutoka japan maana hapa ni ghali sana kwa wakala especially GT-R hii ni mashine ingine mkuu ni balaa halafu bei zake ziko juu sana
Wakati huo kulikuwa na mechanic mmoja alikuwa anatufungia mtungi wa gas kwa racing
Ooh those days
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Hahah hio ni appetizer tu, yajayo yatamfurahisha zaidi. Yani kama mpenzi wa hizo gari ni aheri ufanye leasing tu kwa muda kuliko kumiliki kabisa. Baada ya mda wa lease ku expire unahamia kwenye lingine.Hii ni kweli kabisa. Na gari zao bila kuwa kwenye warrant ni balaa. Kuna jamaa yangu ana S Class ya 2016, iliungua taa ya kwenye kitasa cha mlango cha nje, kwenda kwa dealer, walimkamua dola 250 kubadilisha bulb tuu.
Kuna kipindi kulikuwa na mkutano wa wenye vyombo vya habari, nilimuona Mzee Mengi anaingia na S Class la namna hii. Nafikiri ilikuwa model ya 2016 hivi. Kweli hizo ni level zao hao. Sisi pesa hiyo ukipewa wala huwezi weka kwenye gari.500Mill nyingi kwa mimi na wewe mkuu watu kama kina Bakhresa,Mengi huyu mwindi mjanja mjanja wakuitwa Manji wakiamua wanaisukuma hiyo ndinga hapa bongo tatizo ni pale waokota makopo watakapoanza kutoa toa hizo nembo.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Halafu kweli, umeme kwao sio tatizo kabisa...ila waarabu sidhani kama wataacha kuuza mafuta kabisa japo soko la wese litayumba kiaina. Kuna makampuni mengi yenye machine na mitambo inayohitaji mafuta, Heavy duty vehicles na ndege pia zitaendelea kutumia wese.Unajua wazungu wana umeme wa kutosha. Wao wanajiruhusu kutumia umeme wa Nuclear bila shida kabisa, ila wanawakataza waarabu. So, very soon, watahamia kwenye umeme, na mafuta yatakwisha thamani, mwisho wa siku, waarabu watashuka chini na kujikomba kwa wazungu kupata hiyo technology. China ndio itakuwa tishio zaidi.
Hahaha hili la soko lao la mafuta kuyumba ni swala la muda tu! Wakifikia efficiency hio hizo gari zitakuwa so convenient. Walau gari iweze kukamilisha 1000 km in a single charge which takes less than 30 mins.Tunaelekea huko. Wakiweza kufanikisha kuzi full charge in 10mins na kwenda umbali mrefu, waarabu watakoma. Mafuta yatawadodea.
Nadhani kadri technology inavyokua battery zitashuka bei zaidi.Halafu kweli, umeme kwao sio tatizo kabisa...ila waarabu sidhani kama wataacha kuuza mafuta kabisa japo soko la wese litayumba kiaina. Kuna makampuni mengi yenye machine na mitambo inayohitaji mafuta, Heavy duty vehicles na ndege pia zitaendelea kutumia wese.
China kwa technology wapo juu sana kwa sasa. Wasiwasi wangu battery zitaanza kuuzwa gharama sana. Ule umuhimu wa energy conserving ndio utafanya aina flani za battery zinzotumika kwenye gari kuwa very expensive.
Hapana sijawahi kuona liveHehehee! Kweli. Hata kuangalia tu nafsi inasuuzika. Ulisha attend a Formula 1 race? Mie nina hiyo dream kwa kweli.
Kama hawatarudi kwenye vita watafika mbali sanaKwa kweli jamaa wameamua. Hiyo nchi baada ya miaka michache watakuwa mbali saana.
[emoji41][emoji41]Tumeshaanza kuwa na plant, tunapaka ndege rangi kwa bei karibu na bure. Soon KLM wataanza kuleta midege yao huku tuipake rangi.
Hii ni Tz ya viwanda na uchumi unapaa (4% sio haba mabepari wanatuonea wivu mkuu)
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah hasa ile LS ya mwaka 1998-2003 was ahead of its time.Lexus kwa kweli ni very reliable. Hata zile za mwanzo. Mtu most people waliowahi kununua Lexus, lazima watarudi tena. Na kuna LS nyingi saana toleo la kwanza bado ziko barabarani mpaka leo kwenye hali nzuri kabisa.
[emoji41][emoji41]
Nakusoma na miwani yangu [emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Hahahahaha
Ukimaliza service plan una-upgrade kwenye current model.German ni fun to drive cars, zipo stable sana na comfortability ni ya hali ya juu. Ila linapokuja swala la Reliability sio kitu ambacho wanakiona muhimu. Sahivi wamehamia kwenye turbocharged engines na kupunguza pistons.
Huwezi kununua gari $180,000 halafu ndani ya miaka mitatu tu tu thamani ikawa imefika dollar $80,000! Na likishamaliza ile service plan yao waliokuwekea linaanza kukukamua kisawa sawa with series of problems. Taa ya check engine inawaka kila mara. We ni garage tu ukisolve hili linaibuka jipya. Inakukung'uta mfuko mpaka akili zitakukaa sawa na service yake sio zile za laki 2. Unazungumzia ma "M" kama gari yako ni very current.