mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Na tra wameweka CIF ya A8 ni $36,000
wkt CIF ya S-class ni $78,000.
Kitu ambacho ni impossible.
Sent using Jamii Forums mobile app
wkt CIF ya S-class ni $78,000.
Kitu ambacho ni impossible.
Hiyo tofauti ni kubwa sana aise. Maana hizo gari zikiwa mpya, base price zinapishana kidogo saana. Sio kwa kiasi kikubwa hivyo. Sasa sielewi why kodi inakuwa toafuti hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app