2020 BET Hip Hop Awards - Khaligraph, Nasty C nominated for best international flow

2020 BET Hip Hop Awards - Khaligraph, Nasty C nominated for best international flow

Kali anarap kwa kizungu. Wasanii wa bongo hawajui kizungu. Kali amecolabo wimbo moja tu na msanii wa bongo.
Hawajui kizungu lakini wamewaacha wasanii wa kenya mbali sana [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kali anarap kwa kizungu. Wasanii wa bongo hawajui kizungu. Kali amecolabo wimbo moja tu na msanii wa bongo.
Kitu usichokijua ni kwamba muziki hauna lugha,iwe kizungu,kichina,ama kijaluo,aiseee hakuna watu dumb kama ninyi wakenya....
Unaleta tu porojo hapa na huku inaonekana ni nothing when it comes to music, kali kaanza ku- rap muda mrefu hapo kenya, hakuwa hata akijulikana international, kali kaanza kujulikana baada ya kufanya kolabo na young killer, baada ya kuona imekuwa hit akaamua kufunga safari kuja bongo na akafikia clouds fm kwenye pindi la xxl chini ya b12 akiwa na young killer kama mwenyeji wake na chin beez, hapo ndo akajizolea kolabo kama zote akiwa bongo, akafanya kolabo na christian bella(msanii m-congo anayeishi bongo), kisha akafanya kolabo mbili na rostam yaani roma na stamina, kisha akafanya kolabo na country boy, then akafanya kolabo 2 na WCB kupitia kwa rayvanny, kumbuka kali kafanya kolabu 3 na rayvanny wa WCB hizi kolabo ndo zilizomfanya awe nominated katika category ya tuzo za nigeria kama rapper bora, hakuishia hapo akafanya kolabo na harmonize( konde boy mjeshi), akafanya kolabo na ruby, kisha akafanya na ommy dimpoz. So kaligraph ana kolabo zaidi ya 10 na wanamuziki wa kimataifa wa Tanzania

Sasa niambie kaligraph kafanya kolabo nyingi wapi kwingine zaidi ya bongo? Kali himself knows it all, kama unabisha ingia YouTube search kaligraph jones in XXL Clouds FM utamsikia akibonga mwenyewe

After Nigeria, Congo, South africa then tz, Kenya will be after Uganda in 20.
 
Unaleta tu porojo hapa na huku inaonekana ni nothing when it comes to music,kali kaanza ku- rap muda mrefu hapo kenya,hakuwa hata akijulikana international,kali kaanza kujulikana baada ya kufanya kolabo na young killer,baada ya kuona imekuwa hit akaamua kufunga safari kuja bongo na akafikia clouds fm kwenye pindi la xxl chini ya b12 akiwa na young killer kama mwenyeji wake na chin beez,hapo ndo akajizolea kolabo kama zote akiwa bongo,akafanya kolabo na christian bella(msanii m-congo anayeishi bongo),kisha akafanya kolabo mbili na rostam yaani roma na stamina,kisha akafanya kolabo na country boy,then akafanya kolabo 2 na WCB kupitia kwa rayvanny,kumbuka kali kafanya kolabu 3 na rayvanny wa WCB hizi kolabo ndo zilizomfanya awe nominated katika category ya tuzo za nigeria kama rapper bora,hakuishia hapo akafanya kolabo na harmonize( konde boy mjeshi),akafanya kolabo na ruby ,kisha akafanya na ommy dimpoz...so kaligraph ana kolabo zaidi ya 10 na wanamuziki wa kimataifa wa tanzania

Sasa niambie kaligraph kafanya kolabo nyingi wapi kwingine zaidi ya bongo??? Kali himself knows it all,kama unabisha ingia youtube search kaligraph jones in xxl clouds fm utamsikia akibonga mwenyewe



After nigeria,congo,south africa then tz,kenye will be after uganda in 20....
Sawa mzee. Kati ya Nasty C na Kaligraph nani mkali?
 
Wacha upuuzi. Kali anarap kwa kizungu. Wasanii wa bongo hawajui kizungu. Kali amecolabo wimbo moja tu na msanii wa bongo.

Rayvan aliimba Kiswahili akapata tuzo ya BET kipengele Cha viewers choice 2016.

Happynes magesa ni Mtanzania na anaongea kiswahili mwaka 2016 alipata tuzo ya BET kipengele Cha humanitarian au global good.

Sasa ingekua kingereza kinatoa tuzo basi tusingezipata hata moja IKIWA kwa kiswahili tunazipata nyingi hivyo.
 
Kali anarap kwa kizungu. Wasanii wa bongo hawajui kizungu. Kali amecolabo wimbo moja tu na msanii wa bongo.
Sema kwamba hufuatilii ila bongo kuna kikundi wanarap kwa kiingereza tu na wanaitwa Tema Yai nation wasanii wao ni km kina mex cortez, leonmcswagg, freshlikeuhh, VIC n.k ni lyricist wazuri na mpk khaligraph j anataka kumshirikisha mbongo mmoja wa tema yai mex cortez kwenye Khali cartel 4

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Wacha kaende !!!!!!👑👑👑
 
Back
Top Bottom