Pre GE2025 2020 CHADEMA mlituaminisha Lissu anaweza kuongoza nchi leo, mnasema hafai kuongoza chama! Mlitaka kutuingiza chaka?

Pre GE2025 2020 CHADEMA mlituaminisha Lissu anaweza kuongoza nchi leo, mnasema hafai kuongoza chama! Mlitaka kutuingiza chaka?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Viongozi wakuu wa CHADEMA wanaonekana kutomuunga mkono Tundu Lissu kwa madai hatoshi na hana weledi wa kuongoza chama!

Freeman Mbowe anaonyesha haamini kama akikiacha chama mikononi mwa Lissu hakitakuwa salama.

Kama ni hivyo kwanini mlimuamini kugombea urais wa nchi? Mnasema hana hekima na uweledi wa kuongoza chama nchi angeiongozaje?

Kwa hiyo mlitukabidhi skanka ndio ikae magogoni kumbe mlijua hafai hata kuongoza chama?

Akina John Heche na Godbless Lema mlikuwa na maana gani kutuwekea mgombea msiemuamini?

Mnataka tuamini kwamba nafasi ya mwenyekiti wa chama ni muhimu zaidi kuliko nafasi ya rais wa nchi?

Naacha kuwaamini kabisa.
 
Viongozi wakuu wa chadema wanaonekana kutomuunga mkono Tundu lissu kwa madai hatoshi na hana weledi wa kuongoza chama ! Freeman mbowe anaonyesha haamini kama akikiacha chama mikononi mwa lissu hakitakuwa salama ! Kama ni hivyo kwanini mlimuamini kugombea urais wa nchi ? Mnasema hana hekima na uweledi wa kuongoza chama nchi angeiongozaje? Kwa hiyo mlitukabidhi skanka ndio ikae magogoni kumbe mlijua hafai hata kuongoza chama ? Akina john heche na God bless lema mlikuwa na maana gani kutuwekea mgombea msiemuamini ? Mnataka Tuamini kwamba nafasi ya mwenyekiti wa chama ni muhimu zaidi kuliko nafasi ya rais wa nchi ? Naacha kuwaamini kabisa
Hawa viongozi wa chadema si wa kuwaamini. Nadhani hapo kwenye nafasi ya mwenyekiti kuna maslahi makubwa ndo maana wanapiga kelele pande zote za dunia
 
Bawacha na bavicha ni kama kikundi cha wajinga wanaongozwa na Ntobi mpuuzi mmoja anaharibu chama kizima
 
Hawa viongozi wa chadema si wa kuwaamini. Nadhani hapo kwenye nafasi ya mwenyekiti kuna maslahi makubwa ndo maana wanapiga kelele pande zote za dunia
Wanagawana ,lissu akishinda Kuna watu watakuwa jobless
 
Kwa mfano angeshinda urais ingekuwaje ?
Huenda hawa hawa Machawa wa Mbowe ndio wangeanza kuwa Machawa wa Lissu ili mkono uende kinywani😁

Sasa tuna tofauti gani na CCM?
 
Ndege wanaofanana huruka pamoja. Mbowe na machawa wake wote wezi, wajinga na madikteta
 
Tutakutana nao 2025 kwenye uchaguzi mkuu hatutaki kusikia kelele
 
Viongozi wakuu wa CHADEMA wanaonekana kutomuunga mkono Tundu Lissu kwa madai hatoshi na hana weledi wa kuongoza chama!

Freeman Mbowe anaonyesha haamini kama akikiacha chama mikononi mwa Lissu hakitakuwa salama.

Kama ni hivyo kwanini mlimuamini kugombea urais wa nchi? Mnasema hana hekima na uweledi wa kuongoza chama nchi angeiongozaje?

Kwa hiyo mlitukabidhi skanka ndio ikae magogoni kumbe mlijua hafai hata kuongoza chama?

Akina John Heche na Godbless Lema mlikuwa na maana gani kutuwekea mgombea msiemuamini?

Mnataka tuamini kwamba nafasi ya mwenyekiti wa chama ni muhimu zaidi kuliko nafasi ya rais wa nchi?

Naacha kuwaamini kabisa.
Ni maoni ya watu binafsi na sio tamko la chama
 
Viongozi wakuu wa CHADEMA wanaonekana kutomuunga mkono Tundu Lissu kwa madai hatoshi na hana weledi wa kuongoza chama!

Freeman Mbowe anaonyesha haamini kama akikiacha chama mikononi mwa Lissu hakitakuwa salama.

Kama ni hivyo kwanini mlimuamini kugombea urais wa nchi? Mnasema hana hekima na uweledi wa kuongoza chama nchi angeiongozaje?

Kwa hiyo mlitukabidhi skanka ndio ikae magogoni kumbe mlijua hafai hata kuongoza chama?

Akina John Heche na Godbless Lema mlikuwa na maana gani kutuwekea mgombea msiemuamini?

Mnataka tuamini kwamba nafasi ya mwenyekiti wa chama ni muhimu zaidi kuliko nafasi ya rais wa nchi?

Naacha kuwaamini kabisa.
Ikijibiwa hii nachukua kadi ya CHADEMA mapema tu.

Njooni huku wachoma mabango wa Raisi wetu mpendwa mama Samia mijibu swali.
 
Back
Top Bottom