Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
- #2,141
Japo naona pumzi ishakataHahaaaa pouwa kamanda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Japo naona pumzi ishakataHahaaaa pouwa kamanda
😂😂Sasa naelewa kwannn watu wanakimbilia Malawi kwa wataalam
Hadi hapa malawi wamejitahidi sana.Maana hizo shot on target walizopigiwa first half second half ndo itakua balaa.Second half...Malawi atafanyiwa sana msako
🤣🤣🤣🤣🤣 inabidi goli la Malawi lifukuliwe
Huyu kipa mpka sasa ndio man of the match kwa kipindi cha kwanza
Tatizo la kupaki basi bwana inabidi uwe na counter attacking strategy nzuri ambayo inahatariaha usalama wa goli la wapinzani.Malawi wamepaki sana, kiasi cha kwamba wamewaruhusu sana Morocco kupanda! Angalia mahali anapocheza Hakimi utasema sio Full back
Morocco walituahidi uwanja Dodoma. Walioko Dom walishajenga?
Japo naona pumzi ishakata
Sawa mkuuUsikate tamaa, mpira dakika 90 kamanda 😀
Banda laini sanakocha ingiza Banda
tunataka wamiliki mpiraBanda laini sana