ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Hivi Tanzania Tulikuwa Tunapambana Kuja Huku ili Mfungaji wetu awe Bocco? Au Beki awe Kibwana Shomary [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] au Kiungo Awe Feisal Toto? Bora hata hatukuja
Simba Iliwadanganya hadi Timu ya Taifa Kuwa Wangeweza Kupambana na Waarabu, Wa Nigeria [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Simba Mungu Anawaonaaaa Kuwaaminisha wenzenu Ujinga
Simba Iliwadanganya hadi Timu ya Taifa Kuwa Wangeweza Kupambana na Waarabu, Wa Nigeria [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Simba Mungu Anawaonaaaa Kuwaaminisha wenzenu Ujinga