ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Hii sio nusu uwanja ni robo uwanja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii sio nusu uwanja ni robo uwanja
HomeMechi ipi ya home au away
Sio mbaya sana....Malawi wamepambana
Robo fainali mwenyeji anacheza na nani?Sisi wa morocco hatushindi kimchongo kama wenyeji 🤣 nilitamani sana tukutane na mwenyeji tumshikishe adabu
Mtakutana nae tuu huko mbeleni😂Sisi wa morocco hatushindi kimchongo kama wenyeji 🤣 nilitamani sana tukutane na mwenyeji tumshikishe adabu
Robo fainali mwenyeji anacheza na nani?
hapo AFCON kuna kipa wa kumzidi AirManula?Kipa Manura [emoji23][emoji23]
Unaongea ujinga gani wewe, Mendy unaweza mfananisha na Manura?hapo AFCON kuna kipa wa kumzidi AirManula?
Hapana....ni Tunisia au MoroccoKwangu Bingwa wa Kombe hili ni Senegal
Wekeni hii post kwa kumbukumbu
hapo AFCON kuna kipa wa kumzidi AirManula?
Hapana....ni Tunisia au Morocco
hapo AFCON kuna kipa wa kumzidi AirManula?
Sisemi kwamba watashinda ila only a person ambae hafuatilii Soccer anaweza akawa-write off the Pharaohs
Ukishafika kwenye hii stage ya mitoani sometimes experience na uhalisia kwamba ushafika hatua hizo mara kadhaa huwa ni added advantage hata kama haupo kwenye fomu.... (It has happen so many times)
Ndio maana Genta hua anamutukana huyu pimbiHalafu simba anaingiaje tena humu! [emoji23] hii ni AFCON bwana......
Sitashangaa hawa jamaa ni kinara kwenye hili kombe sio kwa bahati mbaya nakumbuka hata Final Moja wakati ule Ivory Coast ndio ilikuwa na Golden Generation majina yote makubwa jamaa waliwatoa kwa Penalties....Kamanda, Mafarao leo wanashinda.....mark my words.....hawa jamaa wa NORTH wakishafika 16 bora to Quarter final, They change like snakes.....
Egypt 2-0 Ivory coast