BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Sitashangaa hawa jamaa ni kinara kwenye hili kombe sio kwa bahati mbaya nakumbuka hata Final Moja wakati ule Ivory Coast ndio ilikuwa na Golden Generation majina yote makubwa jamaa waliwatoa kwa Penalties....
Kwahio mpira unadunda sisemi kwamba watashinda ila kwa mtu anayewa-write off nadhani atakuwa hajafanya upembuzi yakinifu
Kabisa kamanda, ngoja tuone