BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Sitashangaa hawa jamaa ni kinara kwenye hili kombe sio kwa bahati mbaya nakumbuka hata Final Moja wakati ule Ivory Coast ndio ilikuwa na Golden Generation majina yote makubwa jamaa waliwatoa kwa Penalties....
Kwahio mpira unadunda sisemi kwamba watashinda ila kwa mtu anayewa-write off nadhani atakuwa hajafanya upembuzi yakinifu
Ikitokea Mafarao wamemtoa Ivory coast itakuwa uzoefu umewabeba...japo hawapewi nafasi ila waarabu wana uzoefu sana na hatua za mitoano........Sisemi kwamba watashinda ila only a person ambae hafuatilii Soccer anaweza akawa-write off the Pharaohs
Ukishafika kwenye hii stage ya mitoani sometimes experience na uhalisia kwamba ushafika hatua hizo mara kadhaa huwa ni added advantage hata kama haupo kwenye fomu.... (It has happen so many times)
Kwenye stage hizi waarabu wanakua balaa sana aiseee
Natamani sana Code washinde lakini waarabu wanajua sana kucheza nje na ndani ya uwanja kwenye knock out stage
Kila kheri code
Kuna ile Golden Generation ya kina Drogba, Toure Brothers n.k. ila kwa uzoefu wa mwarabu walikosa Kombe..., That was an opportunity missed ila kwa mwarabu hasa huyu pharaoh haikuwa ajabu (anything can happen)Ikitokea Mafarao wamemtoa Ivory coast itakuwa uzoefu umewabeba...japo hawapewi nafasi ila waarabu wana uzoefu sana na hatua za mitoano........
Ivory coast wameonyesha mchezo mzuri sana hatua ya makundi hata kumpa kichapo kikali bingwa mtetezi.....binafsi natamani Sana wavuke ila dakika 90,120 au matuta zitaamua.
[emoji3][emoji3]Mkuu unaheshimika sana humu, punguza kuandika mashudu
Team Mali
Mechi ya Masry na Ivory coast saa ngapi ni Bet😁😁😁
Mkuu, ni watu wachache sana kwenye uzi huu tunajua unayoyapitia kipindi hiki[emoji16]...
hahahaMkuu, ni watu wachache sana kwenye uzi huu tunajua unayoyapitia kipindi hiki[emoji16]...
Shukrani pia kwa update za AFCON..
Ivory coast 2. L'Égypte 0
Ivory coast 3 - 1 EgyptMisry 2-0