Mzee Wa Kazi Chafu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2022
- 2,245
- 4,966
Eti Sergio Mane [emoji1787]Je Sergio Mane atapanda ndege au atabaki kama mwenzake Mo Salaah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti Sergio Mane [emoji1787]Je Sergio Mane atapanda ndege au atabaki kama mwenzake Mo Salaah
PointWewe ndio umekwenda mbali zaidi umeingiza hadi udini
Naziheshimu sana timu za uarabuni kwa nidhamu yao ya mpira
Lakini binafsi sizishabikii timu za kiarabu sio kwa sababu ya udini au uarabu wao
Kuna ile dhana kwamba waarabu wana figisu sana ukienda kucheza kwao enzi hizo
Simba na Yanga imekutana sana kadhia ya hawa jamaa
Na hii kwa kiasi kikubwa imesababisha Watz wengi hawazipendi timu za uarabuni kwa kuanini wanafigisu sana licha ya ubora wao
Lakini pia waarabu wana ile dhana kujiona kama wao sio waafrika, yaani hata kama ni waafrika lakini wao ni tofauti na waafrika wengine
Hili linasababisha waafrika wengi ambao sio waarabu kutokuzishabikia timu za kiarabu...... hali hii imejenga tabaka miongoni mwa Afrika na kunakua na ile dhana kwamba mashindano ya Afrika inakua ni kama Afrika vs waarabu
Ndio hiyo unakuta sio Mkongo au Mnaijeria anataka muarabu ashinde makombe ya afrika
Kama ukitembelea mabanda umiza ni rahisi sana kuona hiki nilicho eleza hapa
Mzuka tu huo😂😂Eti Sergio Mane [emoji1787]
Kwa leo nakustahi, mtu alikuwa anataka timu yake ipite na ikawa imetolewa, nikasema labda ilikuwa inapita kwenda nyumbani, sasa hapa udini uko wapi? hebu fuatilia comments zangu na wadau wengine hapa pale timu tunazoshabikia zinapopata matokeo mabaya. Misimamo yako ya dini iko dhahiri, mapenzi yako kwa waarabu na dini yao ya jangwani humo yasikufanye kuquote kwenye vitu vya hovyo, siku nyingine nitakutolea uvivu.Kwenye udini upo, kwenye ubaguzi upo.. waache watu washabikie timu wapendazo, na usilete ubaguzi wako hapa.
Kwakweli [emoji23]Mzuka tu huo[emoji23][emoji23]
SadioEti Sergio Mane [emoji1787]
Najua Ni Type Error...Joke Tu [emoji23]Sadio
Senegal bado wapo na moto2nd half
VAR itaamuaEq. Guinea wanapata penati
VAR imekataa sio penatiEq. Guinea wanapata penati
no penalty Aligusishiwa mkononi makusudi
Hahaha miaka ile EPL mbio za ubingwa ni timu tatu tu, Man Utd, Arsenal na ChelseaHaliwezi kuwa tuta la hivyo. Yaani unamnawisha mtu makusudi.
Hii michezo Thierry Henry alikuwa anaipenda sana.
[emoji16][emoji16][emoji16]labda Ni ndugu yakeEti Sergio Mane [emoji1787]