Kama Cameroon ni vidume kweli wawafanyie pia Egypt figisu kama walizowafanyia ComorosView attachment 2102217
Fainali ni Senegal na Misri,kisha Misri atachukua
Nawaomba mzidi Kuikumbuka Hii.Kwangu Bingwa wa Kombe hili ni Senegal
Wekeni hii post kwa kumbukumbu
Kama Cameroon ni vidume kweli wawafanyie pia Egypt figisu kama walizowafanyia Comoros
View attachment 2102217
Fainali ni Senegal na Misri,kisha Misri atachukua
Mbona unapunguza idadi ya goli mkuu umetumwaaaaa? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Na iwe hivyo chief OKW, jana mkapiga m2 tano bila mammae. Big up sana
Cameroon na ushindi wa kuunga unga hawawezi kutoboaThubutu! Hao wa michongo watapigwa nyingi na wanaume aka mafarao, kila la heri egypt ⌛
Nasubiri wabaguzi wa rangi waje kutoa mipovu yao hapa mammae.
Kama huamini mipira yetu ya kiafrika kuna wakati huko nyuma ilikua na figisu basi nadhani wewe ndio unafikra za KIPUMBAVU zaidiHakuna cha figisu, wenzetu wametuzidi maarifa bwana, haya ya figisu yanatokea kwenye vijiwe vya kahawa, kwa mtu anaejuwa mpira hawezi kuwa na fikra za kipumbavu kama hizo eti fitina/figisu 🤣. Ukweli ni kwamba, bado kuna vimelea vya kibaguzi,,,, labda nikuorodheshee comments za kishenzi kutoka kwa wacojielewa na kujitambuwa 🤣
Angalia hapa,
View attachment 2101863View attachment 2101864View attachment 2101865View attachment 2101866View attachment 2101867View attachment 2101868View attachment 2101869View attachment 2101870View attachment 2101871View attachment 2101872View attachment 2101873View attachment 2101874View attachment 2101875
Thubutu! Hao wa michongo watapigwa nyingi na wanaume aka mafarao, kila la heri egypt [emoji353]
Nasubiri wabaguzi wa rangi waje kutoa mipovu yao hapa mammae.
Unapotetea hoja zako unaamini figisu na michingo ipoThubutu! Hao wa michongo watapigwa nyingi na wanaume aka mafarao, kila la heri egypt ⌛
Nasubiri wabaguzi wa rangi waje kutoa mipovu yao hapa mammae.
Unapotetea hoja zako unaamini figisu na michingo ipo
Ila zikituhumiwa nchi za uarabuni kwa michingo inakua ni fikra za kipumbavu
Mkuu wewe shabikia timu utakayo lakini usiwaone wenzako wabaguzi kwasababu hawazipendi timu za kiarabu
Kama huamini mipira yetu ya kiafrika kuna wakati huko nyuma ilikua na figisu basi nadhani wewe ndio unafikra za KIPUMBAVU zaidi
Kuna sababu kwa kila kitu, umepewa sababu ya watu wengi kutokuahabikia waarabu HUZITAKI na kuziita za KIPUMBAVU, kuukata ukweli ndio UPUMBAVU wenyewe
Nimesema Sio vijiwe vya kahawa tu huku kwetu kwa Mtogole ambao hatushabikii timu za kiarabu, hata viunga vya Joberg, Abuja, Abijan, kiufupi ni Waafrika wote wasio na uasili wa uarabu
Sababu kubwa umeelezwa, wabaguzi wa kwanza ni waarabu wenyewe, kihistoria toka enzi hizo walioigana kutotaka kuwa wao ni bara la Afrika na hadi leo wanajiona kama wao ni Middle East county zaidi ya kujiona waafrika
So unavyoona hizo komenti ndio uhalisia uliopo Afrika nzima
Mwisho usiwapangie watu kupenda timu za kiarabu sababu ya DINI yako kama ulivyo jiainisha hapo juu
Mbona unapunguza idadi ya goli mkuu umetumwaaaaa? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kafuatilie kwenye ligi zao, hao waarabu ni wa kawaida tu wala hawana cha maana.
This time waarabu hawalambi kitu, Egypt havuki nusu fainali.Itapendeza sana Mane na Salah wakutane final [emoji3]
Another psychiatric case.You are not a football fan, Kama hawana cha maana wasinge ongoza kuchukua vikombe vya ndani na nje. They are the giants of africa
Kwa kile walichowafanyia Comoros natamani wapigwe tena nyingi tu.Thubutu! Hao wa michongo watapigwa nyingi na wanaume aka mafarao, kila la heri egypt [emoji353]
Nasubiri wabaguzi wa rangi waje kutoa mipovu yao hapa mammae.
Senegal kuchukua kombe ni aombe Mungu Egypt atolewe kwanza.Jumapili ijayo muda kama huu Senegal watakuwa wananyanyua makwapa kama mabingwa wapya wa Afcon 2021