2021 AFCON Special Thread

2021 AFCON Special Thread

Nusu fainali

475C077F-071F-479B-8060-329E66DD322B.jpeg
 
Hakuna cha figisu, wenzetu wametuzidi maarifa bwana, haya ya figisu yanatokea kwenye vijiwe vya kahawa, kwa mtu anaejuwa mpira hawezi kuwa na fikra za kipumbavu kama hizo eti fitina/figisu 🤣. Ukweli ni kwamba, bado kuna vimelea vya kibaguzi,,,, labda nikuorodheshee comments za kishenzi kutoka kwa wacojielewa na kujitambuwa 🤣

Angalia hapa,

View attachment 2101863View attachment 2101864View attachment 2101865View attachment 2101866View attachment 2101867View attachment 2101868View attachment 2101869View attachment 2101870View attachment 2101871View attachment 2101872View attachment 2101873View attachment 2101874View attachment 2101875
Kama huamini mipira yetu ya kiafrika kuna wakati huko nyuma ilikua na figisu basi nadhani wewe ndio unafikra za KIPUMBAVU zaidi

Kuna sababu kwa kila kitu, umepewa sababu ya watu wengi kutokuahabikia waarabu HUZITAKI na kuziita za KIPUMBAVU, kuukata ukweli ndio UPUMBAVU wenyewe

Nimesema Sio vijiwe vya kahawa tu huku kwetu kwa Mtogole ambao hatushabikii timu za kiarabu, hata viunga vya Joberg, Abuja, Abijan, kiufupi ni Waafrika wote wasio na uasili wa uarabu

Sababu kubwa umeelezwa, wabaguzi wa kwanza ni waarabu wenyewe, kihistoria toka enzi hizo walioigana kutotaka kuwa wao ni bara la Afrika na hadi leo wanajiona kama wao ni Middle East county zaidi ya kujiona waafrika

So unavyoona hizo komenti ndio uhalisia uliopo Afrika nzima

Mwisho usiwapangie watu kupenda timu za kiarabu sababu ya DINI yako kama ulivyo jiainisha hapo juu
 
Thubutu! Hao wa michongo watapigwa nyingi na wanaume aka mafarao, kila la heri egypt ⌛

Nasubiri wabaguzi wa rangi waje kutoa mipovu yao hapa mammae.
Unapotetea hoja zako unaamini figisu na michingo ipo
Ila zikituhumiwa nchi za uarabuni kwa michingo inakua ni fikra za kipumbavu

Mkuu wewe shabikia timu utakayo lakini usiwaone wenzako wabaguzi kwasababu hawazipendi timu za kiarabu
 
Unapotetea hoja zako unaamini figisu na michingo ipo
Ila zikituhumiwa nchi za uarabuni kwa michingo inakua ni fikra za kipumbavu

Mkuu wewe shabikia timu utakayo lakini usiwaone wenzako wabaguzi kwasababu hawazipendi timu za kiarabu

Ucnifanye mimi mpumbavu kijana, fuatilia comments za nyuma mpaka hapa ulipokomenti, ndio utajuwa waafrika ndiyo wabaguzi sana, japo co wote. Hata wewe umeonyesha ni mbaguzi, sikiliza bwana, kubali kataa wenze2 wame2zidi, wanajuwa wanachofanya,,, wakishinda mechi mnaanza oh wanabebwa, oh wanajiangusha, oh mara cjui figisu!!! Mwanamme mzima unalalamika!!! Bac na wengine wafanye figisu washinde kama ndiyo kigezo chenyewe.

Huu uzi ulianza vizuri, mmekuja wabaguzi na uzi umepoteza mvuto,,,dahh hatari sana.


FORTALEZA wasiliana na mods wanaoleta ubaguzi humu wapigwe ban, wanakera sana.
 
Kama huamini mipira yetu ya kiafrika kuna wakati huko nyuma ilikua na figisu basi nadhani wewe ndio unafikra za KIPUMBAVU zaidi

Kuna sababu kwa kila kitu, umepewa sababu ya watu wengi kutokuahabikia waarabu HUZITAKI na kuziita za KIPUMBAVU, kuukata ukweli ndio UPUMBAVU wenyewe

Nimesema Sio vijiwe vya kahawa tu huku kwetu kwa Mtogole ambao hatushabikii timu za kiarabu, hata viunga vya Joberg, Abuja, Abijan, kiufupi ni Waafrika wote wasio na uasili wa uarabu

Sababu kubwa umeelezwa, wabaguzi wa kwanza ni waarabu wenyewe, kihistoria toka enzi hizo walioigana kutotaka kuwa wao ni bara la Afrika na hadi leo wanajiona kama wao ni Middle East county zaidi ya kujiona waafrika

So unavyoona hizo komenti ndio uhalisia uliopo Afrika nzima

Mwisho usiwapangie watu kupenda timu za kiarabu sababu ya DINI yako kama ulivyo jiainisha hapo juu

Nilishakuambia hakuna cha figisu hapo, wenze2 wanajuwa mpira, co kama cc kelele nyingi ziczo na maana, na malalamiko na makasiriko kama yote. Ckiliza kijana, Kubali kataa umeonyesha ubaguzi, kwa maana huwapendi waarabu, endelea hivyo hivyo lakini huwapunguzii chochote kutoka kwao, bali unajishusha thamani, na hata kizazi kijacho kitafuata haya haya ubaguzi/malalamiko. Hapa nafikiria sana watoto wako watapata nini cha kujifunza kutoka kwako, very sad.


Kingine, cjalazimisha m2 afuate ama kushabikia asichopenda, hapa nakemea ubaguzi kijana.

Naendelea kukuwekea comments za kibaguzi, kwa maana bado kuna wapumbavu wacojielewa.

20220131_114454.jpg
 
Back
Top Bottom