Ovyo saaaana hamna kitu!Cameroon huwa ni wabovu kwenye upigaji wa penati...
Senegal bingwaaa
Kauli za kibaguzi kuhusu Waarabu kwenye vibanda umiza na mitandaoni mpk nyingine zinavuka mpaka watu wanachuki vibaya mno kisa uarabu wao tu ,nikaona bora niwasapoti rasmi wanangu wa EgyptOyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeèeeeeee😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁🏋️♀️🏋️♀️🏋️♀️🏋️♀️🏋️♀️🏋️♀️🏋️♀️😁😁😁🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️😁😁😁😁
Hao Hovyo kabisa..Nasubiri humu wacameroon wakihamia senegal, aise wanahangaika na kujipa stress
Haiwezekani Senegal humjui wewe..Accha kabisa. Prediction yangu egypt anabeba ndoo babaaaaaaaaa
Haiwezekani Senegal humjui wewe..
Jpili, Mane Money ananyanyua ndoo na kumfuta Machozi Alou cisseUmeanza,,,wakitolewa mnakimbia uzi
Maneno yangu ni yale yale Cameroon to the final kukutana na mnyama Mane..
Mapema sana bossSenegal bingwa tayari
Uto on the wheelManeno yangu ni yale yale Cameroon to the final kukutana na mnyama Mane..