Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
-
- #421
Sudan si ndo kwakina Shiboub,alafu iyo ni Sudan ipi?Hawa Sudan sio level yetu kabisaaa
Sudan yenyeweSudan si ndo kwakina Shiboub,alafu iyo ni Sudan ipi?
Kwa kiwango hiki Egypt hawafiki mbali
Cjui wametumia vigezo gan kumpa timu Carlos Quiroz ambae hana mbinu na soka la kuvutia
Algeria and Morocco πͺπ½ though Nigeria nao wako vizuri pia sema hawakawii kutepeta hao, tena wakutane na Algeria and Morocco watapigika tu.Nigeria [emoji1184] ndio Timu yangu ya kushabikia
Sijui imekuwaje leo hii sio Misri tuliyoizowea.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Africa hatuna mipira? Mbona Referee anahangaika sana hadi mechi inasimama?
BlackPanther kanishawishi tuishabikie ila moyo wangu unajiona kusita. πππ
Timu mbili za hili group ni zipi? Tuone kama kuna kutoboa.
Hahahaaa. Tusubiri tuone.Ni swala la muda tu π€£ nigeria wako vizuri sema hawakawii kukata pumzi, ni tofauti na timu za afrika kaskazini (kiarabu) tushazoea miaka yote wako π₯π₯π₯
Wakitoka wote je? πUsikate tamaa mapema, ni suala la muda tu....Algeria ndiyo kawaida yao, next match atakichafuwa balaa.....
Timu nazoshabikia ni ALGERIA and MOROCCO, Algeria akitoka naenda na Morocco πͺπ½π
Yaani hawa Algeria ndio mabingwa watetezi?
Wakitoka wote je? π