naona mechi ime- delayMechi inayofiata kati ya Gambia na Mauritania ina mvuto wake wa kipekee kwa vilabu vya Simba na Yanga. Mauritania wanaongozwa na aliyewahi kuwa kocha wa Simba Didier Gomes Da Rosa huku Gambia wakiongozwa na aliyewahi kuwa kocha wa Yanga Tom Saintfiet. Tuchukue popcorn kusubiria mechi ianze.
huyu refa ni kimeoLakini pia huyu Refa Mwaka 2018 Alisimamishwa na CAF kwa Tuhuma za Kupanga matokeo. Lakini Cha Ajabu Alichezesha katika world cup 2018.
Kweli mkuu, hasa yule binti sijui wanashindwaje tofautisha late tackle na dangerous play kwa situation rahisi kama ileWachambuzi uchwara wa soka wa UTV wote wanasema lie chalenge ilistahili streght redcard. Wallah ninaudhika sana.
huyu refa ni kimeo
Ni Mechi ya Simba Vs Yanga. Kocha wa Gambia amewahi kuifundisha Yanga.Sasa tusubir mechi ya Didier Da Rosa apa....
HakunaNani anawakilisha Afrika mashariki?
Africa ni Africa tuAFCON22 organizers are fools, how could they appoint an idiot from Zambia to officiate the match!
Kama hiyo goli iliyofungwa jamaa kalenga angle kwenye mazingira magumuTimu zetu za Tanzania haswa wachezaji wanapaswa wajifunze mbinu na ujuzi unao onyeshwa na timu mbalimbali badala ya kushngaa na kushangilia.
Ujuzi mkubwa sana unaonyeshwa na timu zilizo shiriki awamu hii.
naona pia kama kuna plan ya kuwakomoa ,hivi rais wa CAF si ndo Mwafrica Kusini?Term hii waraabu hamupati kitu si Misri, Morocco,Algeria,Tunisia.
Rangi nyeusi zamu yetu 2022