Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 12,444
- 18,741
Ni kukimbiza mwanzo mwisho yeyote anayekatisha mbele yetu tunakula kichwaSuper Eagles wamejipanga sana msimu huu, wasilewe sifa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kukimbiza mwanzo mwisho yeyote anayekatisha mbele yetu tunakula kichwaSuper Eagles wamejipanga sana msimu huu, wasilewe sifa tu
Baadaye ndio itajulikana wakimenyana hao wawili watajipangia nafasi zao
Baadaye ndio itajulikana wakimenyana hao wawili watajipangia nafasi zao
Unaweza ukute Guinea ndo imekuwa ya motoNategemea game ya baadae ya Misri itakuwa ya moto sana
Lolote linaweza kutokeaUnaweza ukute Guinea ndo imekuwa ya moto
Kazuri sema weupe wa dawa huo
Egypt wajiangalie droo itawahusu65' bado milango ni migumu kwa timu zote
Wanafikir majina ndio yanayochezaEgypt nao wamekuwa wabovu sana. Labda kama watabadirika huko mechi zinazofuata.