Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,296
- 122,437
Goli halali lileWametukata maini, jamaa walistahili goli na alama 1
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Goli halali lileWametukata maini, jamaa walistahili goli na alama 1
Hawana timu, wanacheza kibinafsi sanaKwa mpira huu wa Misri sidhani kama watafanya maajabu mashindano haya,imeniuma kwa lile goli kukataliwa
Hawana timu, wanacheza kibinafsi sana
Hawa ndoo sidhani labda wabadilike sana come knock out stageHawana timu, wanacheza kibinafsi sana
Watolewe kwani hatua ya makundi imeisha?Jamani misri na senegal wanatolewa lini?
Super Eagles wamejipanga sana msimu huu, wasilewe sifa tu
Jamani misri na senegal wanatolewa lini?
Watoke aisee, mane na salah warudi klabuniMafarao wana point 3 nyuma ya nigeria, hivyo wana uhakika wa kupita kwa asilimia kubwa
Egypt nao wamekuwa wabovu sana. Labda kama watabadirika huko mechi zinazofuata.
Kwa mpira huu wa Misri sidhani kama watafanya maajabu mashindano haya,imeniuma kwa lile goli kukataliwa
🤣🤣🤣 usijali rafiki yangu tuko pamoja.Ngoja akutane na Algeria or Morocco atapigwa kama hana akili......na rafiki yangu najuwa yuko upande wangu kuishabikia Algeria dada la madada Shadeeya, usinigeuke tuu ukahamia timu la lisiloeleweka
Mkuu nimefuta.Mkuu naona umenunua iPhone 13 Pro Max, waambie hao vijana wa makumbusho waiset vizuri
HahaMkuu naona umenunua iPhone 13 Pro Max, waambie hao vijana wa makumbusho waiset vizuri
Usiwaze mkuuMkuu nimefuta.
samahani mimi hata sijui imekuwaje naingia hapa ndo naona ugoro niliotuma.
Nisameheni wadau wote wa jf kilichopostiwa hapa kutoka kwangu hata mi sijaelewa imekuwaje.