Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
-
- #761
Utaumia kichwa bure na hao CECAFAEti Gambia yupo
Commoro yupo
Malawi yupo
Carpe verde yupo
Tz,Ug wala Kenya hakuna timu.
Sijuia changamoto yetu inakuwa wapi. Kimsingi ilipaswa kila mashindano CECAFA iwe na timu yake.
Sie east africa hatujui mpira bwana na kuweka siasa pasipokuwa na haja ya siasa.Eti Gambia yupo
Commoro yupo
Malawi yupo
Carpe verde yupo
Tz,Ug wala Kenya hakuna timu.
Sijuia changamoto yetu inakuwa wapi. Kimsingi ilipaswa kila mashindano CECAFA iwe na timu yake.
Refa wa ukweli huyo pale kulikuwa na foul. Sio bongo hiyo kwamba watu wanaleta ujinga kwenye kazi zao. Marefa hapa wanataka kwenda qatar so hawataki kuleta ujingaVAR imesema kulikuwa na faulo kabla ya Balde kufunga goli maridhawa, hivyo goli limekataliwa
Mkono wakushoto umemvuta jamaa...motion ya mkono inaonyesha kabisa kavutaHakuna faulo pale kwa upande wangu
Soft foulMkono wakushoto umemvuta jamaa...motion ya mkono inaonyesha kabisa kavuta
Hamna looye sitawasahau nigeria walivyotuangusha france 98 dhidi ya denmark....watu tukanua yes mwaka wetu. Loh hicho tulichoishia kukiona🤣🤣🤣🤣Sema Mimi Huwa siwakubali kabisaa hasa kwenywe kuliwakilisha bara la Africa huko world cup huwa wanaruka ruka tu wanatolewa, tofauti na timu kama Ghana,Senegal,Cameroon, Nigeria wakiingia world cup wanapambana hata wakitolewa kuna kuwaga kama Kuna kafigisu Fulani kamefanyika
Its a foul mate refa asinge toa foul ningemuona nae magumashi kama wa kwetu hapa. Kaka qatar kuna dollar bwana hapa sio mambo ya kuchezea ulaji.Soft foul
VAR imezingua sana,What a goooooooal
Hay bhana kakaIts a foul mate refa asinge toa foul ningemuona nae magumashi kama wa kwetu hapa. Kaka qatar kuna dollar bwana hapa sio mambo ya kuchezea ulaji.
VAR imezingua sana,
Kwa mpira huu wa Misri sidhani kama watafanya maajabu mashindano haya,imeniuma kwa lile goli kukataliwaSoft foul