ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Gabon 1- 0 Morocco
Dk 22
Huyo kwaheri ya kuonana, hao Comoros wachezaji wao karibia wote wanacheza Ufaransa siyo wakuchukuliwa poaGhana ndo katolewa hivyo
VP mkuu mkeka unachanika!!Eeeeeeeeh [emoji2299][emoji2299][emoji2299][emoji2299][emoji2299]
Kashinda 2-1Wadau Zimbabwe katokaje
Hapa sasa ndio utaona kwamba wazazi wetu wapuuzi...sasa wazazi wa hawa wacomoro walivyokuwa wanaenda ufaransa wetu walikuwa wanakuna mbupuz tuu ama wana demka tuuHuyo kwaheri ya kuonana, hao Comoros wachezaji wao karibia wote wanacheza Ufaransa siyo wakuchukuliwa poa
Imeonyesha kabisa sie wa east africa hamna kitu...hatujui mpiraUnderdog wamejitahidi sana haya mashi ndano kasoro waliokaribu na A.mashariki, Sudan na Ethiopia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yaani ukifatilia haya mambo unaweza kupata uchizHapa sasa ndio utaona kwamba wazazi wetu wapuuzi...sasa wazazi wa hawa wacomoro walivyokuwa wanaenda ufaransa wetu walikuwa wanakuna mbupuz tuu ama wana demka tuu
Our very ownFrank Komba leo yupo uwanjan kumbe
Gabon vs Morocco
Never Tigere wa Azam Fc alitoa assistKashinda 2-1
Goli zimerudi tayari.Bye bye ghana
Wapuuzi tu. Wanashindwa kutumia advantage ya mtu 1. Wangetanua uwanja basiCommors wanakipa mzuri sana