Wako vzr tatzo wanapack sana busWapuuzi tu. Wanashindwa kutumia advantage ya mtu 1. Wangetanua uwanja basi
Alafu huyu kipa namba mbili mzuri kuliko yule aliyeumiaCommors wanakipa mzuri sana
Sure.Unakuta mtz anacheza norway daraja la kwanza au pili na haitwi timu ya taifa lakini anaitwa John Boko au Nchimbi. Hawa wacomoro wengi wanacheza france madaraja ya chini lakini hawa ni bora kuliko hawa wachezaji wetu wa simba na yanga.
NigeriaMpaka sasa AFCON nilivyoangalia ubingwa ni either.
1. CAMEROON
2. IVORY COST
3. MOROCCO
Hao wengine sidhani.
Yeah.Nigeria
Gabon wako on fire pia
Hebu muweke na Nigeria hapo unamkosea adabuMpaka sasa AFCON nilivyoangalia ubingwa ni either.
1. CAMEROON
2. IVORY COST
3. MOROCCO
Hao wengine sidhani.
Ghana ameanza safari nategemea wakubwa wengine watamfata Ghana akiwemo AlgeriaFT: Ghana 2-3 Commors
FT: Gabon 2-2 Morroco
Gabon& Morroco wanafuzu
Commors ajakubali kutoka mwenyew katoka na Ghana.
Tukutane badae jioni tena.
Nchi nyingi za Africa jezi zao ni hovyo
Algeria safari inamuitaGhana ameanza safari nategemea wakubwa wengine watamfata Ghana akiwemo Algeria
Wanawakilishwa uwafrika jamani na rangi zetuKama jezi za nigeria utadhani vitenge, mwanamme mzima unavaa kitenge! 🤣
Wanawakilishwa uwafrika jamani na rangi zetu