Tunisia 🇹🇳wanagusa mpira wale jamaa. Wanatumia nguvu na akili kukaba. Ninawaona wakisumbua kwenye hatua zijazo ingawa lolote linaweza kutokeaNdo maana wengine tukaipa Tunisia mapema tu kuwa lazima apite hatua hii,hatua hizi za kutoana kwa hakika kabisa wenzetu wa kaskazini wanajua kuzicheza vizuri huwa siyo wasahaulifu kabisa Kama sisi...
Tokea nimeumbwa timu zangu zifuatazo Africa Ivory Coast na ikizingua huwa nawaamini sana Algeria. World Cup France. Huko kungine ni Arsenal na Simba
Hata ikuwekwa game saizi Aboubakar vs Peter Banda naamini kabisa Aboubakar nje. Leo ndio safina ya Cameroon inazama, hakuna timu pale kabda ibebwe kwa mbeleko.Cameroon kafanyia wenzake figisu kwa mgongo wa corona.Huu uenyeji unamfanya awe na mbinu nyingi nje ya uwanja.maana haiwezekani comoro kacheza vizuri makundi sasa hivi ndo linaibuka la corona.ila ngoja tuone itakavyokua.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
HahahahTunaoenda na Cameroon Tujuane mapema kabisaaaaa sio tukishapiga mtu 4G ndio mjitokeze!
Hahaha tunaomba uwepo wakati Cameroon watakapokuwa wanashuka dimbaniHata ikuwekwa game saizi Aboubakar vs Peter Banda naamini kabisa Aboubakar nje. Leo ndio safina ya Cameroon inazama, hakuna timu pale kabda ibebwe kwa mbeleko.
Kila siku tatizo ni lile lileNaombeni Update maana Cable Songea mda wa game unaanza tu wamebadili chaneli ya Canal inayoonyesha game za AfCON wameweka RMC Tv inaonyesha marudio ya Man United vs West Ham.
Usiwachukulie poaHawa Gambia kumbe sio wabovu
Hahaha haya sawaAhsante. Tangulia nayo naja. Hahahaaa.
Forteleza nitakukumbusha hiyo saa nne, saizi Guine anaenda kumpiga mtu wake then baadae mwenyeji anaenda kushughulikiwaHahaha tunaomba uwepo wakati Cameroon watakapokuwa wanashuka dimbani
Usije ukapoteaForteleza nitakukumbusha hiyo saa nne, saizi Guine anaenda kumpiga mtu wake then baadae mwenyeji anaenda kushughulikiwa
Hahaa Hii ndio Afrika karbu mkuuCameroon kafanyia wenzake figisu kwa mgongo wa corona.Huu uenyeji unamfanya awe na mbinu nyingi nje ya uwanja.maana haiwezekani comoro kacheza vizuri makundi sasa hivi ndo linaibuka la corona.ila ngoja tuone itakavyokua.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Endelea kutupa taarifa cc wa Cable tumebadilishiwa chanel saizi watoa pale pa Canal na wameweka RMC Spots ambao sehemu nyingine ipo na wapo na marudio ya Man United Vs West ham25' Guinea 0-0 Gambia
Hakika pamoja sanTwende nayo Mkuu tuone mwisho wetu ni wapi.
Mnalipa sh ngap kwa mwezi?Endelea kutupa taarifa cc wa Cable tumebadilishiwa chanel saizi watoa pale pa Canal na wameweka RMC Spots ambao sehemu nyingine ipo na wapo na marudio ya Man United Vs West ham
14 elfu,Mnalipa sh ngap kwa mwezi?
Tunisia 🇹🇳wanagusa mpira wale jamaa. Wanatumia nguvu na akili kukaba. Ninawaona wakisumbua kwenye hatua zijazo ingawa lolote linaweza kutokea