Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
-
- #1,661
Hii ni knock out bro! Mbinu zaidi kuliko ufundiGuinea wameniangusha sana.wameonyesha kiwango kizuri ila kwenye umaliziaji ndo tatizo.alafu wamecheza sana ile style ya anao anao hadi wakakosa focus ya umaliziaji.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hahaa wana kesi ya kujibu sioGuinea watafute namna ya kurudisha pesa kwa serikali yao. Si ndio waliagwa huku bastola ipo kiunoni hawa.
Kwa mpira gani?
Ongeza na Comores hapoMi nasubiri hao anaodai wanashangaza ulimwengu watapangwa na nani 🤣🤣 akiangukia kwa hawa (Morocco, Tunisia, Ivory coast or Egypt) amekwisha 🤣🤣
Ongeza na Comores hapo
Hao sioni kama mechi zao zitawapa changamoto sana kihivyo kama hao wengine, anyway, tusubiri tuone.Mbona umetaja chache?maana hata Cameroon na Senegal zinapigiwa upatu.
Nilishakuambia achana na hao wasindikizaji utapata presha buree ilhali wewe ni binti mrembo, tuungane na Morocco......Algeria tumetolewa, sasa nifuate kwa morocco ndiyo the second team nayoipenda na kuikubali, aise hutajutia.Twende nayo Mkuu tuone mwisho wetu ni wapi.
Comoros, Cameroon atapita.Ongeza na Comores hapo
Hayha jammel rais wao japo walimfurumusha alikuwa mtata sana sasa naona wanawe wanakuwa watata mashindano yao ya kwanza wamepiga hodi mpaka robo fainali sio mafanikio madogo hayo ila wanapaka hina sana na hawana uharaka wanapofika eneo la kushambuliaGambia wanashangaza watu huku
Sio figisu figisu hizi kweli!
Hahhahahahaa. Umeeleweka. Nigeria na Guine wametuangusha sana. Soon watabaki waarabu. Juzi kati wametoka kucheza Arabu Cup sasa tunawaachia tena na hili letu la waafrika.Mambo ni motooo, wakwanza huyo kasharudi bado wale wawili, Mungu saidia senegal na misri watoke. Najua mshanielewa
Covid imepiga penye mshono
Maajabu yapo Africa. Mtashangazwa, FT. Cameroon 0-1 Comoro.
Abu anachezea timu gani?Comoros, Cameroon atapita.
Yaani Cameroon asipate goli? Hapana mkuu...Big No😂😂Maajabu yapo Africa. Mtashangazwa, FT. Cameroon 0-1 Comoro.
Abu anachezea timu gani?
Wanastahili pongezi sio jambo dogoHayha jammel rais wao japo walimfurumusha alikuwa mtata sana sasa naona wanawe wanakuwa watata mashindano yao ya kwanza wamepiga hodi mpaka robo fainali sio mafanikio madogo hayo ila wanapaka hina sana na hawana uharaka wanapofika eneo la kushambulia